Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Namna gani nzur kuagana na mtoto wakat wa kwenda kazini? Huwa Analia sana.
Jitahidi kila unapoondoka uwe unamuaga kila siku na aridhike.hata kuwa analia tena .na kama anakaa na mtu sahihi ..atakuwa anakuaga fresh
 
Exactly [emoji817][emoji419][emoji625]
Jitahidi kila unapoondoka uwe unamuaga kila siku na aridhike.hata kuwa analia tena .na kama anakaa na mtu sahihi ..atakuwa anakuaga fresh

Jr[emoji769]
 
JAMANI MWANANGU MIMI ANA TATIZO LA KULALA KIDOGO NA KUAMKA...NA ANA MWEZI MMOJA TAYARI...

LAKINI ANALALA KIDOGO ANA AMKA ANALIA...YAANI HUWA HALALI MDA MREFU...

SASA WENGINE WAKASEMA LABDA HASHIBI...LAKINI JAMANI MAMA AKE ANA MAZIWA MENGI MPAKA YANAMWAGIKA...NA MTOTO ANANYONYA BALAAA...MPAKA ANAACHA MWENYEWE...

WENGINE WAKANAMBIA LABDA MAZIWA YA MAMA NI MEPESI...SASA HAPO NDIO NIKACHANGANYIKIWAAAA...

TUTAFANYAJE MAZIWA YA MAMA YAWE MAZITO...?

LAKINI PAMOJA NA YOTE...MWANANGU HAUMWI...ANAARISHA TU KILA AKIJISAIDIA...KAMA MTOTO NI KAWAIDA...NDO NIKAAMBIWA NA WATU KUWA MAZIWA YA MAMA MEPESI...

ILA MWANANGU ANA AFYA TU NZURI...

NAOMBENI UFAFANUZI KWA MWENYE UTAALAM JAMANI...

Ndugu Mshana Jr tafadhali...
Maziwa ya mama yakiwa mepesi mtoto hawezi kushiba na kama hajashiba hataweza kulala vizuri.
Mtoto akishiba vizuri analala sana
 
Mungu Wangu baby wangu anatumia pampas, isije ikampata.japo huwa namuomba anayebaki nae mchana amshindishe na kptula tu.ila sidhani.mimi kama mzazi nakerwa sana nikisikia mda wote alimvalisha pampers
Kuwa makini
 
Ooh ok... Hili sidhani kama lina ukweli... Mimba haiwezi kugeuka tofali kwa ajili ya kula udongo
Kuna viudongo ivi wanawake wenye mimba wanapenda kula sijui huko dar vinaitwaje...huku vinaitwa pemba

Jr[emoji769]
 
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.

Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.

Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.

Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.

Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.

Kwa mfano, ufanyeje;

-Mtoto anapolialia
-Mtoto anapopata gesi tumboni
-Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
-When the child is shocked at night and cries loudly etc. k

Risks of baby;
-Efficient
-The city
-Motorcycle
- Tv
-Similar, its waves
-Operations and various objects
-Obsides and cosmetics etc.

This is a broad topic with many aspects.

For example garlic is a remedy for baby crying and nightmares, Honey teaspoon is a cure for a baby who has a persistent cough (except for the chest and flu), Things like acne and armpits do not help the child

So many things ...

If it pleases them it will be a special issue for children.

Instruct the child in the right direction and he will not leave it!
I agreed.
 
Calcium most likely imepungua hivyo mifupa ni dhaifu na pengine ana uzito mkubwa... Tafadhali wasiliana na dr bingwa wa watoto kwa ushauri zaidi
Mtoto wangu ameanza kutembea mwezi mmoja uliopita ila naona ana utege sana.msaada tafadhali kuhusiana na njia ya kuzuia hii hali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Hahahaa ana umri gani

Jr[emoji769]
Mshana Jr
Hebu nisaidie mawazo.
Mwanagu anapungua tu
sijui hata sababu.kuna mtu niliongea nae ni ndugu yangu
Akanambia
.kwa nini usimtafutie mtoto kinga yoyote.

Tokea amezaliwa hana kinga yoyote huwa mamwombea tu.
Nikawa tu nipo njia panda.
Sijajua dogo anakonda sababu ya utundu wake au, na ni mzima tu wa afya.
Msaada please
 
Achana kabisa na ishu za kinga nakushauri mtegemee Mungu tuu... Sana sana mwogeshee maji uliyochanganya na chumvi kidogo inatosha kabisa
Mshana Jr
Hebu nisaidie mawazo.
Mwanagu anapungua tu
sijui hata sababu.kuna mtu niliongea nae ni ndugu yangu
Akanambia
.kwa nini usimtafutie mtoto kinga yoyote.

Tokea amezaliwa hana kinga yoyote huwa mamwombea tu.
Nikawa tu nipo njia panda.
Sijajua dogo anakonda sababu ya utundu wake au, na ni mzima tu wa afya.
Msaada please

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom