Mshana Jr
Hembu nisaidie mawazo.
Mwanagu anapungua tu
sijui ha8hta sababu.kuna mtu niliongea nae ni ndugu yangu
Akanambia
.kwa nini usimtafutie mtoto kinga yoyote.
Tok8ea a8mezaliwa hana m8okinga yoyote huwa mamwombea tu. 83
Nikawa tu nipo njia panda.8
Sijajua dogo anakonda sababur 5oya g33utundu r1w98999e7n8
Your browser is not able to display this video.
7ak88e au, na ni mzima tu wa afya.9
Msaada puglease
Tatizo langu ni kwamba mtoto wangu kazaliwa tarehe 8 mpaka leo tarehe 11 upatikanaji wa maziwa kwa mke wangu ni mdogo sana ,JE NINI SULUHISHO LA MAMA WATOTO ILI ATOE MAZIWA HARAKA? mshana jr
Japo kuwa ulizo swali, linamda mrefu Sana. Nalijibu for the purpose of Education,
Huku kwetu, tunatumia mbegu za maboga tunaziita 'tetere' Zinasagwa mama anakoroga uji anachanganya na huu unga wa tetere. Ni siku tatu tu, maziwa yanayotoka hutaamini.
Kwa kuanza naomba nijue ni umri upi sahihi kwa mtoto kuanza kujitegemea katika kujitawaza mwenyewe baada ya kujisaidia?(iwe kwa maji au toilet paper)
Hapa lengo ni kujua kwamba iwapo ataanza kujitawaza mwenyewe aweze kujisafisha kwa uhakika kwani tofauti na hapo inaweza kupelekea kupata magonjwa ya Mara kwa Mara kama UTI(hasa watoto wa kike)na pia magonjwa ya tumbo kama hatanawa mikono vizuri.
Kwa kuanza naomba nijue ni umri upi sahihi kwa mtoto kuanza kujitegemea katika kujitawaza mwenyewe baada ya kujisaidia?(iwe kwa maji au toilet paper)
Hapa lengo ni kujua kwamba iwapo ataanza kujitawaza mwenyewe aweze kujisafisha kwa uhakika kwani tofauti na hapo inaweza kupelekea kupata magonjwa ya Mara kwa Mara kama UTI(hasa watoto wa kike)na pia magonjwa ya tumbo kama hatanawa mikono vizuri.