Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Sio tu kuwaonya kuomba omba, ni muhimu pia wazazi wajitahidi kuwapa watoto wao vitu vidogo vidogo ambavyo wengi hushawishiwa navyo. Ukisikiliza kesi nyingi za watoto waliolawitiwa utagundua kwamba wengi hupatikana kwa kudanganywa na vitu vidogo vidogo (mf. Soda, pipi, biskuti, chips, karanga, kucheza game kwenye simu nk.), na wakishadanganywa mara moja, mara mbili inageuka mazoea kwasababu ya tamaa.

Ila mtoto anapojua kwamba mzazi wake anaweza kumnunulia vitu kama hivyo pale anapokuwa vizuri mfukoni sio rahisi apapatikie vitu hivyo kutoka kwa mtu asiyemfahamu. Kuna watoto wazuri mpaka raha, hata apewe hela au pipi na mtu asiyemjua au hata jirani hapokei ng'o. Na kama mzazi wake yupo karibu unakuta anamuangalia kwa muongozo, akiambiwa pokea anajua its owwkey, asipoambiwa chochote anajiongeza mwenyewe na kugoma kupokea.

Besides, vingi ya hivi vitu sio hata gharama. Ni vitu vya sh 50, 100, kwenda mpaka 1000. Mtoto akipata mara moja moja anazoea na kujifunza kutotamani anapoona mtu mwingine akila au akinywa.
hp ni mtihani kwa kweli
 
Ni kweli, aliyekuwa g/f wangu wa mwanzo alisimamia sana point hiyo(atajifungua kwa njia ya upasuaji) kwasababu tu anaogopa eti maumbile yake yataharibika ikiwa atajifungua kwa njia ya kawaida, kila mtu alishika zake baada ya msimamo wake kuwa mkali
poor mind thinking.. pole yake lkn
 
Msaada wazazi wenzangu
Mwanangu wa miaka 7 analalamika kidudu chake kinauma na kweli huwa kinasimama kwa muda mrf na mara kwa mara. Je hili ni tatizo? Hulalamika kinauma na ukimwangalia unakuta kimesimama sana na inachukua dkk kadhaa kulala. Plz nawaza labda ukubwani itamletea tatizo
 
Msaada wazazi wenzangu
Mwanangu wa miaka 7 analalamika kidudu chake kinauma na kweli huwa kinasimama kwa muda mrf na mara kwa mara..Je hili ni tatizo? Hulalamika kinauma na ukimwangalia unakuta kimesimama sana na inachukua dkk kadhaa kulala. Plz nawaza labda ukubwani itamletea tatizo
Ameshapata tohara? Korodani ukiziminya zikoje? Kinasimama muda gani?
 
Msaada wazazi wenzangu
Mwanangu wa miaka 7 analalamika kidudu chake kinauma na kweli huwa kinasimama kwa muda mrf na mara kwa mara..Je hili ni tatizo? Hulalamika kinauma na ukimwangalia unakuta kimesimama sana na inachukua dkk kadhaa kulala. Plz nawaza labda ukubwani itamletea tatizo
Mpeleke hospital usikae na wasiwasi. Inaweza ikawa tatizo au Sio tatizo uhakika utaupata huko
 
Ameshapata tohara
Ziko kawaida tuu japo kuna muda zinanyweaaaa
kiinaweza simama dkk 2 mpk 5
Kusinyaa ni kawaida
Kusimama dede alfajiri ni ada na hiki ndio kipimo cha urijali ama ukhanithi wa mtoto...tofauti na hapo kinaweza kusimama kwa mara zisizozidi tano kwa siku nzima (kusimama bila kichokoo)
Kama kusimama huko kunampa maumivu kuna tatizo kwenye njia ya mkojo mostly infection
 
Kusinyaa ni kawaida
Kusimama dede alfajiri ni ada na hiki ndio kipimo cha urijali ama ukhanithi wa mtoto...tofauti na hapo kinaweza kusimama kwa mara zisizozidi tano kwa siku nzima (kusimama bila kichokoo)
Kama kusimama huko kunampa maumivu kuna tatizo kwenye njia ya mkojo mostly infection
Asante mkuu. Nadhani hili linaweza kuwa tatizo maybe. Nimepata mwanga. Halafu naomba unijuze kidogo nina mwingie wa mwaka mmoja ila yy kusimama kwake ni kwa udhaifu sana asubui siioni au kwa sbb anakua amevaa diaper?
 
Asante mkuu. Nadhani hili linaweza kuwa tatizo maybe. Nimepata mwanga. Halafu naomba unijuze kidogo nina mwingie wa mwaka mmoja ila yy kusimama kwake ni kwa udhaifu sana asubui siioni au kwa sbb anakua amevaa diaper?
Ziepuke diaper kabisa sio nzuri hasa kwa watoto wa kiume ...unaweza kuepuka mikojo lakini athari ni kubwa zaidi
Kama itabidi kulala nayo hakikishs alfajiri unamvua ili uweze kufanya monitoring. Diapers zinazoofisha makuzi ya msuli
 
Ziepuke diaper kabisa sio nzuri hasa kwa watoto wa kiume ...unaweza kuepuka mikojo lakini athari ni kubwa zaidi
Kama itabidi kulala nayo hakikishs alfajiri unamvua ili uweze kufanya monitoring. Diapers zinazoofisha makuzi ya msuli
Sawa asante mkuu ubarikiwe.
 
Msaada wazazi wenzangu
Mwanangu wa miaka 7 analalamika kidudu chake kinauma na kweli huwa kinasimama kwa muda mrf na mara kwa mara..Je hili ni tatizo? Hulalamika kinauma na ukimwangalia unakuta kimesimama sana na inachukua dkk kadhaa kulala. Plz nawaza labda ukubwani itamletea tatizo
Mpelelezi kwa daktari afanyiwe uchunguzi zaidi ukiwahi mapema itaacha na maumivu hayata rudi tena
 
Hili jambo nimekuwa najaribu kusema lakini wazazi wetu yani wakwe na mama zetu huchangia sana kuumiza watoto ktk eneo hili kwa kisingizio mtoto anahitaji joto mtoto huwa hasikii joto wanashindwa kuelewa dar ni tofauti pengine na mkoani ulipozaliwa wewe au bibi huyo alipokuzia watoto wake wengine unaenda clinic daktari anakushangaa jinsi ulivyomjaza mtoto nguo nyingi kabaki macho tu.wazazi tuwe makini hawa ni wakubwa zetu ila panapobidi kuwaelewesha tufanye hivyo vinginevyo ni sisi ndio tunakuja kupata shida na watoto wetu badae.
Hii ni kweli kabisaa yani... Tunapaswa kuwa makini sana
 

TAKWIMU: VIFO VYA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO VIMEPUNGUA NCHINI​



Kwa mujibu wa Hotuba ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto ya Mwaka 2020/2021, katika kipengele C cha utekelezaji wa majukumu ya idara kuu ya afya (fungu 52) huduma za Chanjo kutokana na huduma za Chanjo zilizotolewa na Serikali kutoka Mwaka 2015/2016 Mpaka Mwaka 2019/2020 zimeleta matokeo ya kupunguza vifo vya watoto walio chini ya Umri wa miaka 5.

Hii ni kulingana na takwimu zinazokusanywa na Wizara kutoka katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

Jedwali hili linafafanua vifo vilivyopungua kwa kuonesha umri wa watoto.
UMRIVIFO VYA MWAKA 2015/2020.VIFO VYA MWAKA 2019/2020.VIZAZI HAI.
0 - 14391,000
1 - 567111,000
Chanzo: Hotuba ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto ya Mwaka 2020/2021.
 

TAKWIMU: VIFO VYA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO VIMEPUNGUA NCHINI​



Kwa mujibu wa Hotuba ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto ya Mwaka 2020/2021, katika kipengele C cha utekelezaji wa majukumu ya idara kuu ya afya (fungu 52) huduma za Chanjo kutokana na huduma za Chanjo zilizotolewa na Serikali kutoka Mwaka 2015/2016 Mpaka Mwaka 2019/2020 zimeleta matokeo ya kupunguza vifo vya watoto walio chini ya Umri wa miaka 5.

Hii ni kulingana na takwimu zinazokusanywa na Wizara kutoka katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

Jedwali hili linafafanua vifo vilivyopungua kwa kuonesha umri wa watoto.
UMRIVIFO VYA MWAKA 2015/2020.VIFO VYA MWAKA 2019/2020.VIZAZI HAI.
0 - 14391,000
1 - 567111,000
Chanzo: Hotuba ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto ya Mwaka 2020/2021.
Chanzo: Hotuba ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto ya Mwaka 2020/2021.[emoji3064][emoji3064][emoji3064]sorry to say this but sometimes hizi report hazina uhalisia
 
Back
Top Bottom