Kwa Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassimu Majaliwa

Kwa Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassimu Majaliwa

kadendu

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2014
Posts
645
Reaction score
496
Waziri mkuu kwa niaba ya wanakijiji wa Mtera staff mpwapwa DODOMA nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kukupa afya njema na kuendelea na majukumu yako ya kitaifa.

Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa unyenyekevu mkubwa naomba nifikishe malalamiko yetu kwako juu ya mradi wa maji ambao umehujumiwa kwa muda mrefu Sana na baadhi ya viongozi huko wilayani mpwapwa lakini pia nimpongeze mh mkuu wa mkoa aliyehama ndugu Antony Mtaka kwa kuwa bega kwa bega na sisi kufuatilia mradi huu, katikati ya mwaka huu alikuja hapa Mtera na kuwataka viongozi wa wilaya ya Mpwapwa wahakikishe mpaka tarehe 25 Sept 2022 wawe wamemaliza mradi na atakuja kukagua kwa bahati mbaya kabla ya hiyo tarehe akawa amehamishwa mkoa na kwenda Njombe hivyo imepelekea mradi umezorota kama mwanzo.

Kitu kinachotushangaza mh Waziri wa maji siku za karibuni alifanya ziara ya miladi ya maji wilayani Mpwapwa kwa maksudi viongozi wa wilay yaMpwapwa walimkwepesha kwa maksudi asije kijijini kwetu kwani tungehoji habari ya mradi wa maji badala yake akaishia Kijiji Cha jirani cha Chipogolo.

Tunajua ilikuwa ni hujuma au mbinu chafu ya maksudi Sasa mh waziri mkuu tunakuomba uchunguze ni kwanini muhandisi wa wilaya ya Mpwapwa mradi wa billion na pointi 7 vifaa vya mradi ananunua yeye mwenyewe kama anafanya shopping mnadani wakati tunafahamu taratibu ya manunuzi vifaa vya Serikali na kwanini atutishie wananchi atakae hoji atamfunga.

Sisi hatuogopi kufungwa kwa kuhoji pesa za Serikali kwani ni yetu Ila tunaomba kabla hajatufunga uje Mtera tukueleze bayana namna mradi unavyohujumiwa mchana kweupe na tunahisi mtandao ni mpana na Kuna mkubwa mmoja Ila tunajua wewe utammudu tu sekunde karibu waziri mkuu wetu Mtera Ili mbivu na mbichi zijulikane takutakia majukumu mema ya ujenzi wa taifa.

Ni Mimi Kadendu katika ujenzi wa taifa.
 
Pia tunawaomba Takukuru mkoa wa Dodoma na wilaya ya Mpwapwa wakati tunamsubiri Mh Waziri Mkuu aje huku Mtera muanze kumchunguza muhandisi wa Maji wilaya ya Mpwapwa no kwanini Vifaa vya Ujenzi wa mradi ni kwanini ananunua yeye binafsi badala ya kufuata taratibu za manunuzi za serikali.
 
Pia tunawaomba Takukuru mkoa wa Dodoma na wilaya ya mpwapwa wakati tunamsubiri Mh Waziri mkuu aje huku Mtera muanze kumchunguza muhandisi wa Maji wilaya ya mpwapwa no kwanini Vifaa vya Ujenzi wa mradi ni kwanini ananunua yeye binafsi badala ya kufuata taratibu za manunuzi za serikali.
Sijawahi kuwashanga wilaya ya Mpwapwa kwa kupiga miradi ya vijijini wilayani no wezi walio kubuhu hata akija mgeni pale anarithishwa wizi lakini mchawi wa miradi ya Mtera anajulikana Mkubwa mmoja hivi miongoni mwa majimbo wilayani Mpwapwa ila yana mwisho.
 
Sijawahi kuwashanga wilaya ya mpwapwa kwa kupiga miladi ya vijijini wilayani no wezi walio kubuhu hats akija mgeni pale anarithishwa wizi lakini mchawi wa miradi ya Mtera anajulikana Mkubwa mmoja hivi miongoni mwa majimbo wilayani mpwapwa ila yana mwisho.
Mchawi wa like kijiji no mbunge wao miaka nenda rudi uwenda hats hao Takukuru wasifanye lolote,kazi iendee.
 
Waziri mkuu kwa niaba ya wanakijiji wa Mtera staff mpwapwa DODOMA nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kukupa afya njema na kuendelea na majukumu yako ya kitaifa.

Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa unyenyekevu mkubwa naomba nifikishe malalamiko yetu kwako juu ya mradi wa maji ambao umehujumiwa kwa muda mrefu Sana na baadhi ya viongozi huko wilayani mpwapwa lakini pia nimpongeze mh mkuu wa mkoa aliyehama ndugu Antony Mtaka kwa kuwa bega kwa bega na sisi kufuatilia mradi huu, katikati ya mwaka huu alikuja hapa Mtera na kuwataka viongozi wa wilaya ya Mpwapwa wahakikishe mpaka tarehe 25 Sept 2022 wawe wamemaliza mradi na atakuja kukagua kwa bahati mbaya kabla ya hiyo tarehe akawa amehamishwa mkoa na kwenda Njombe hivyo imepelekea mradi umezorota kama mwanzo.

Kitu kinachotushangaza mh Waziri wa maji siku za karibuni alifanya ziara ya miladi ya maji wilayani Mpwapwa kwa maksudi viongozi wa wilay yaMpwapwa walimkwepesha kwa maksudi asije kijijini kwetu kwani tungehoji habari ya mradi wa maji badala yake akaishia Kijiji Cha jirani cha Chipogolo.

Tunajua ilikuwa ni hujuma au mbinu chafu ya maksudi Sasa mh waziri mkuu tunakuomba uchunguze ni kwanini muhandisi wa wilaya ya Mpwapwa mradi wa billion na pointi 7 vifaa vya mradi ananunua yeye mwenyewe kama anafanya shopping mnadani wakati tunafahamu taratibu ya manunuzi vifaa vya Serikali na kwanini atutishie wananchi atakae hoji atamfunga.

Sisi hatuogopi kufungwa kwa kuhoji pesa za Serikali kwani ni yetu Ila tunaomba kabla hajatufunga uje Mtera tukueleze bayana namna mradi unavyohujumiwa mchana kweupe na tunahisi mtandao ni mpana na Kuna mkubwa mmoja Ila tunajua wewe utammudu tu sekunde karibu waziri mkuu wetu Mtera Ili mbivu na mbichi zijulikane takutakia majukumu mema ya ujenzi wa taifa.

Ni Mimi Kadendu katika ujenzi wa taifa.
Yaani mtu mmoja akanunuae Vifaa vya mradi wa bilioni na usher kweli watu wanadharau mamlaka Mimi nilitegemea watendaji ndio wawe wa kwanza kumsaidia mama kusimamia miradi hii ya pesa nyingi lakini ukimuona ngedere mjini anafugwa huyo muhandisi hawezzi kuwa na jeuri hiyo kwa vyovyote yeye ni roboti tu
 
Waziri mkuu kwa niaba ya wanakijiji wa Mtera staff mpwapwa DODOMA nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kukupa afya njema na kuendelea na majukumu yako ya kitaifa.

Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa unyenyekevu mkubwa naomba nifikishe malalamiko yetu kwako juu ya mradi wa maji ambao umehujumiwa kwa muda mrefu Sana na baadhi ya viongozi huko wilayani mpwapwa lakini pia nimpongeze mh mkuu wa mkoa aliyehama ndugu Antony Mtaka kwa kuwa bega kwa bega na sisi kufuatilia mradi huu, katikati ya mwaka huu alikuja hapa Mtera na kuwataka viongozi wa wilaya ya Mpwapwa wahakikishe mpaka tarehe 25 Sept 2022 wawe wamemaliza mradi na atakuja kukagua kwa bahati mbaya kabla ya hiyo tarehe akawa amehamishwa mkoa na kwenda Njombe hivyo imepelekea mradi umezorota kama mwanzo.

Kitu kinachotushangaza mh Waziri wa maji siku za karibuni alifanya ziara ya miladi ya maji wilayani Mpwapwa kwa maksudi viongozi wa wilay yaMpwapwa walimkwepesha kwa maksudi asije kijijini kwetu kwani tungehoji habari ya mradi wa maji badala yake akaishia Kijiji Cha jirani cha Chipogolo.

Tunajua ilikuwa ni hujuma au mbinu chafu ya maksudi Sasa mh waziri mkuu tunakuomba uchunguze ni kwanini muhandisi wa wilaya ya Mpwapwa mradi wa billion na pointi 7 vifaa vya mradi ananunua yeye mwenyewe kama anafanya shopping mnadani wakati tunafahamu taratibu ya manunuzi vifaa vya Serikali na kwanini atutishie wananchi atakae hoji atamfunga.

Sisi hatuogopi kufungwa kwa kuhoji pesa za Serikali kwani ni yetu Ila tunaomba kabla hajatufunga uje Mtera tukueleze bayana namna mradi unavyohujumiwa mchana kweupe na tunahisi mtandao ni mpana na Kuna mkubwa mmoja Ila tunajua wewe utammudu tu sekunde karibu waziri mkuu wetu Mtera Ili mbivu na mbichi zijulikane takutakia majukumu mema ya ujenzi wa taifa.

Ni Mimi Kadendu katika ujenzi wa taifa.
Poleni sana.
Ukiona taarifa inakwenda moja kwa moja kwa PM, tafsiri yake ni kwamba viongozi wengine hawawajibiki. Na ndiyo maana waliichakachua katiba ya Warioba.
NCHI NGUMU SANA HII.
 
Poleni sana.
Ukiona taarifa inakwenda moja kwa moja kwa PM, tafsiri yake ni kwamba viongozi wengine hawawajibiki. Na ndiyo maana waliichakachua katiba ya Warioba.
NCHI NGUMU SANA HII.
Asante mkuu nchi ngumu sana hii
 
Yaani mtu mmoja akanunuae Vifaa vya mradi wa bilioni na usher kweli watu wanadharau mamlaka Mimi nilitegemea watendaji ndio wawe wa kwanza kumsaidia mama kusimamia miradi hii ya pesa nyingi lakini ukimuona ngedere mjini anafugwa huyo muhandisi hawezzi kuwa na jeuri hiyo kwa vyovyote yeye ni roboti tu
Mkuu kuna wizi mwingine unajua kabisa una connection muhandisi wa Maji wa wilaya hawezi kujiamini mradi wa b .7 akanunua Vifaa kama vya nyumbani kwake ana watu na ndio maana tukaona ni vema sasa tumjulishe Mh Waziri mkuu ikishindikana basi tutaazimia kwenye mkutano mkuu wa kijiji twende kwa mama Samia rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania tukawashitaki hawa wahujumu uchumi.
 
Sijawahi kuwashanga wilaya ya mpwapwa kwa kupiga miladi ya vijijini wilayani no wezi walio kubuhu hats akija mgeni pale anarithishwa wizi lakini mchawi wa miradi ya Mtera anajulikana Mkubwa mmoja hivi miongoni mwa majimbo wilayani mpwapwa ila yana mwisho.
Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom