Kwa wazoefu wa kuagiza magari befoward

Kwa wazoefu wa kuagiza magari befoward

pandagichiza

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
5,248
Reaction score
3,663
Kuna gari aina ya toyota nadia ya 2007 cc 1900 mileage 97000 inauzwa $306 iko Yokohama. nikiagiza mpaka naichukua bandarini Dar itanigharim tsh ngapi?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kuna gari aina ya toyota nadia ya 2007 cc 1900 mileage 97000 inauzwa $306 iko Yokohama. nikiagiza mpaka naichukua bandarini Dar itanigharim tsh ngapi?
Kwa udenda unavyokutoka sitashangaa ikipigwa mnada bandarini (ikiwa utaingia kichwa kichwa)
 
Kuna gari aina ya toyota nadia ya 2007 cc 1900 mileage 97000 inauzwa $306 iko Yokohama. nikiagiza mpaka naichukua bandarini Dar itanigharim tsh ngapi?
Kama ipo chini ya Beforward,andika namba ya hiyo Gari,huanza na bf....(namba),nenda ofisi za beforward Tanzania, halafu watakufanyia mahesabu kujua mpaka ulipate mikononi itakugharimu shilingi ngapi,maana hapo,kuna Malipo ya kununua gari$306,halafu,shipping fee,kodin.k,,Malipo ya hao beforward ya kukusaidia kukuagizia Gari,ila,nenda ofisi zao, watakujibu maswali yako
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kama ipo chini ya Beforward,andika namba ya hiyo Gari,huanza na bf....(namba),nenda ofisi za beforward Tanzania, halafu watakufanyia mahesabu kujua mpaka ulipate mikononi itakugharimu shilingi ngapi,maana hapo,kuna Malipo ya kununua gari$306,halafu,shipping fee,kodin.k,,Malipo ya hao beforward ya kukusaidia kukuagizia Gari,ila,nenda ofisi zao, watakujibu maswali yako
Asante
 
Au hapo ktk web yao calculate upya destination country chagua Tanzania port chagua dar ess salaam hapo utajua pamoja na shipping ni dollar ngapi kuhusu ushuru wake unaweza kuingia calculator ya tra ukaweka details za gari utaweza pia kujua ushuru wake
 
Nafikiri ni hy ni toleo la 2000 sio 2007 cif yake to dar ni $1713
 
Ushuru wake ni huo
 

Attachments

  • 1478503179411.jpg
    1478503179411.jpg
    63.6 KB · Views: 109
Siku zote kodi ya gari lazima izidi gharama ya manunuzi ya gari
 
Ni Mara Mbili ya bei ya gari ukinunua Kwa mfano 3000$ zidisha mara2 hapo kama hawajauplift
 
Kwanini kodi lazima iwe mara mbili.???
Inakua mara mbil kwasababu tuna import na kwakua cc hatuna vwanda vya magar kwaio pato la kumilk tu gar ndan ya nchi inakua kama lmetengezewa apa na bila kufanya ivyo Pangekua dampo kila mwenye Ml1 angekua na gar apa mjin
 
Vipi nyie watu port mmeweka hapo maana port yetu sometimes grama ua kubwa kuzidi Durt afu port ndio ua kuna heart stack maana hesabu zao ua upewi figa yote utashangaa leo umeambia kuna hiki kesho ukambiwa lipia kitu farani kesho tena ukambia storage
 
Back
Top Bottom