Kwa wazoefu wa kuagiza magari befoward

Kwa wazoefu wa kuagiza magari befoward

Maana mi nilinunua Lexus IS 200 kwa $1000 kuisafirisha $1000 Total duty TRA 6150000 the nikaripa on time but ilipo fika wakati ilipo fika wakati tuna wa port hapo ndipo heart attack ilipo anzia mpaka mwisho wa siku nilijikuta nimegaramia total amount kuanzia manunuzi mpaka gari kua barabarani tshs mil 12600000, wakati kabra sijaripia nilifanya reach na kupata ushauli kutoka kwa wataramu mambo hayo kila total cost ilikua inaangukia kwenye mil 8500000 but the end of day nilijikua nimelipipa kumi na mbili na ushee mwaweza niambia tatizo liko wapi?
 
zaid ya mara mbili mbona nje kuna gari hadi za laki 5 inamaana ikifikahapa inakua mil 1...?
Hio ya kununua Gari unajumlisha na gharama za usafiri,Bima,uchakavu,ukaguzi nk hadi inafika kwako utakuta umeinunua Kwa bei zaid ya Mara NNE ya hio inawezafika hadi milioni Sita.
 
Back
Top Bottom