Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini za wakati huu? Ndugu zangu tokea jana nikijaribu kuongeza muda kwenye simu yangu ya Airtel naambiwa SERVICE TIME OUT. Hii inawezakuwa na maana ganai wajemeni au simu yangu ndo kwisha habari yake?