Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siwezi. Kwanini nikuaminishe? Mimi sio sehemu au kifaa chako cha majaribio yako. Go at your own riskSiasa nyiiingi. Unashindwa nini kushea tu experience yako kama tiba iliponya tatizo ama haikuponya? (kwa upande wako ulivyoitumia).
Unaanza risala za imani.
Hapana siwezi. Kwanini nikuaminishe? Mimi sio sehemu au kifaa chako cha majaribio yako. Go at your own risk
Ubinafsi gani huo unaoulazimisha. Mtu asipofanya kama unavyotaka kawa mbinafsi. Acha kulazimisha watu wafuate matamanio yako. Kila mtu yupo huru kufanya anachotaka hata Munguvmwenyewe hamwamulii.You are very selfish!
Hata hivyo nishang'amua jambo kwenye hiyo sentence yako ulivyohitimisha kwamba ''Go at your own risk".
Ila nimechanganya madawa huu uzi niwa PUMU mimi na comment vita sorry guysZelensky bado anadunda kwa hewa, anaendelea kumtoa kamasi mrusi.
Ni kuhusu tiba ya PUMU uliyowahi kuitumia kutoka kwa mwanajf aitwaye Kisima , nimemtafuta sana pasipo mafanikio.
Ila nimechanganya madawa huu uzi niwa PUMU mimi na comment vita sorry guys
Duh!! 😲Kamanda roho ya kichawi hii. 🤔Hapana siwezi. Kwanini nikuaminishe? Mimi sio sehemu au kifaa chako cha majaribio yako. Go at your own risk
Sio mkuu. Kuna mchezo hapa haujaufahamuDuh!! 😲Kamanda roho ya kichawi hii. 🤔
Upi huo kaka, ama watu wanataka kufanya biashara kupitia kauli yako?Sio mkuu. Kuna mchezo hapa haujaufahamu
Upi huo kaka, ama watu wanataka kufanya biashara kupitia kauli yako?