Kwa wenye tatizo la PUMU, jaribu tiba hii inaweza kukusaidia ama kukuponyesha kabisa

Kwa wenye tatizo la PUMU, jaribu tiba hii inaweza kukusaidia ama kukuponyesha kabisa

Siasa nyiiingi. Unashindwa nini kushea tu experience yako kama tiba iliponya tatizo ama haikuponya? (kwa upande wako ulivyoitumia).

Unaanza risala za imani.
Hapana siwezi. Kwanini nikuaminishe? Mimi sio sehemu au kifaa chako cha majaribio yako. Go at your own risk
 
Duu kuna nini nimekuwa busy aisee.Wamemkamata Zelensky au

Zelensky bado anadunda kwa hewa, anaendelea kumtoa kamasi mrusi.

Ni kuhusu tiba ya PUMU uliyowahi kuitumia kutoka kwa mwanajf aitwaye Kisima , nimemtafuta sana pasipo mafanikio.
 
You are very selfish!

Hata hivyo nishang'amua jambo kwenye hiyo sentence yako ulivyohitimisha kwamba ''Go at your own risk".
Ubinafsi gani huo unaoulazimisha. Mtu asipofanya kama unavyotaka kawa mbinafsi. Acha kulazimisha watu wafuate matamanio yako. Kila mtu yupo huru kufanya anachotaka hata Munguvmwenyewe hamwamulii.

Wewe kama unataka dawa mtafute mhusika ufanye at your risk. Kwani mimi nilikuuliza au niliuza kwa yeyote? Mimi sio kifaa cha majaribio ya hiyo dawa by the way.
 
Zelensky bado anadunda kwa hewa, anaendelea kumtoa kamasi mrusi.

Ni kuhusu tiba ya PUMU uliyowahi kuitumia kutoka kwa mwanajf aitwaye Kisima , nimemtafuta sana pasipo mafanikio.
Ila nimechanganya madawa huu uzi niwa PUMU mimi na comment vita sorry guys
 
Upi huo kaka, ama watu wanataka kufanya biashara kupitia kauli yako?

Huyo jamaa mbinafsi sana. Dawa kaitumia lakini hataki kushea experience yake, kwamba kama ina madhara ama haitibu basi na wengine pia ile kwao. Very dangerous mindset! Anaishia tu kusema "do at your own risk". Ana roho ya kichawi mno!

Na madam UPOPO naye pia hasemi chochote if dawa ilimtibu ama haikumtibu ugonjwa wa PUMU.

Yaani waliotumia hawajawahi na hawataki kuleta mrejesho. So kwa dalili hizi, ni kunjiongeza tu mwenyewe akili kichwani.
 
Back
Top Bottom