Kwa wenye tatizo la simu kujaa nafasi au inaandika delete file fulani ili kupata nafasi ya kudownload app nyingine usikonde fuata hatua hizi ...

Kwa wenye tatizo la simu kujaa nafasi au inaandika delete file fulani ili kupata nafasi ya kudownload app nyingine usikonde fuata hatua hizi ...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.
 
1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.
Sawa wamekusikia
 
1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.
Sasa uki clear data si unafuta kila kitu
 
1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.
Hivyo unafuta data zote za app, so unakuwa unaanza upya kutumia hiyo app.
 
Back
Top Bottom