FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Sawa wamekusikia1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.
Sasa uki clear data si unafuta kila kitu1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.
Haijifuti sema kwa Instagram inakulazimu uingize tena namba ya siriSasa uki clear data si unafuta kila kitu
Unafuta details zote kwenye hiyo app.Haijifuti sema kwa Instagram inakulazimu uingize tena namba ya siri
Hivyo unafuta data zote za app, so unakuwa unaanza upya kutumia hiyo app.1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya kutosha,hii inafuatia kumuona Dada Wema Sepetu akilalamika na kununua card kwa ajili ya nafasi.