King_Villa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 575
- 380
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivyosema .
Nina maswali Yangu ambayo naamini wachumi watanijibu kufasaha na nitaelewa !
1. Kwanini bei ya mafuta inapanda na kushuka ikifika mwishoni mwa mwezi ! ? Na Mara nyingi siku za jumatano!
2. Hivi pesa inakuwaje ngumu kupatikana hali tunajua ni makaratasi yaliyochapishwa kwa utashi Fulani ,kwanini serikari isichapishe pesa zaidi afu igawie wananchi wake pesa iongezeke au tatizo nikuwalipa wanaochapisha?
3. Mfano kipindi cha kikwete sukari ilikuwa na bei ya kawaida saivi imepanda maradufu hili tatizo linatokana na nini na hali tunaambiwa uchumi unakua?
4. Nilipopitia stock exchange nyingi naona dollar ya marekani imetawala sana afu bidhaa zao ni chache sana humu nchini ukilinganisha na bidhaa za China ambazo naona yeni iko chini.
5. Hivi serikari kwanini isitumie watu wa masoko kutafuta masoko ya mchicha marekani ili nasisi tuwe tunawapelekea kwenye makontena kama wanavyotuletea magari huku kwetu.
6.Marekani ni nchi yenye pesa na uchumi mzuri sana kwanini haipo katika rank ya nchi tano tajiri duniani .?
Kama kichwa cha habari kilivyosema .
Nina maswali Yangu ambayo naamini wachumi watanijibu kufasaha na nitaelewa !
1. Kwanini bei ya mafuta inapanda na kushuka ikifika mwishoni mwa mwezi ! ? Na Mara nyingi siku za jumatano!
2. Hivi pesa inakuwaje ngumu kupatikana hali tunajua ni makaratasi yaliyochapishwa kwa utashi Fulani ,kwanini serikari isichapishe pesa zaidi afu igawie wananchi wake pesa iongezeke au tatizo nikuwalipa wanaochapisha?
3. Mfano kipindi cha kikwete sukari ilikuwa na bei ya kawaida saivi imepanda maradufu hili tatizo linatokana na nini na hali tunaambiwa uchumi unakua?
4. Nilipopitia stock exchange nyingi naona dollar ya marekani imetawala sana afu bidhaa zao ni chache sana humu nchini ukilinganisha na bidhaa za China ambazo naona yeni iko chini.
5. Hivi serikari kwanini isitumie watu wa masoko kutafuta masoko ya mchicha marekani ili nasisi tuwe tunawapelekea kwenye makontena kama wanavyotuletea magari huku kwetu.
6.Marekani ni nchi yenye pesa na uchumi mzuri sana kwanini haipo katika rank ya nchi tano tajiri duniani .?