Kwa wenye ufahamu na hili, nitoeni tongo tongo!

Kwa wenye ufahamu na hili, nitoeni tongo tongo!

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Wana jukwaa,

Mara nyingi huwa najiukiza swali sipati jibu labda kwa kuwa sio mtaalamu wa haya mambo ya intelligence.

Hivi Rais anapokuwa katika ziara za kikazi au binafsi nje ya Nchi-anatumia njia gani kuhakikisha nafasi yake aipinduliwi?

Unakuta Rais anatumia mwezi 1-2 nje ya Nchi, mfano Mkapa alipokwenda kufanyiwa upasuaji kule switzerland alikaa karibu mwezi na kitu.Pia Rais Paul Biya wa Cameroon naye alienda matibabu katumia karibu miezi 3. Bado kuna Marais wetu wa kiafrika huenda Ulaya na kukaa huko karibu wiki nzima.

Jamani hili jambo huwa nafikiria sipati majibu, au naye huwa anakwenda lakini anakuwa hana uhakika kama atakikuta kiti chake salama?
 
Wana mapinduzi wenyewe ndo hawa wanaogopa migambo na virungu vyao
 
Mkuu urais ni mfumo zaidi kuliko 'mtu'. Yani unaemuona kuwa ndio rais yupo kama mwakilishi wa mfumo ambao mara nyingi hauonekani lakini upo na unafanya kazi.

Ingekuwa ni jambo personal basi kila siku ungesikia rais kapinduliwa.

Na ndio maana kwa wale ambao wameufanta urais kuwa kitu personal zaidi (dictators) ambao wao kwao mawazo yao na amri zao ndio final (yani hakuna mfumo wa kumshauri anaoweza kuusikilia) wao huwa kwanza wanaogopa sana kutoka nje ya nchi maana muda wowote wanapinduliwa.

Refer bwana yule na madikteta wengine wengi.
 
Back
Top Bottom