Kwa wenye umri wa miaka 25 na kuendelea

Kwa wenye umri wa miaka 25 na kuendelea

Nikiwa naanza kazi tu,nilipata kazi yenye mshahara mkubwa,sikuwa na shida ya pesa,nikiwa bado nakaa home. Niliweza kuwasaidia member wa familia yangu kwenye shida zao.Lakini sasa,nilikuwa na boyfriend aliyenigeuza Atm, nilikuwa namlipia kodi ya nyumba na mavazi yake, akanitapeli hadi nikampa pesa akaongeza na kwenda USA,huwezi amini alinisahau baada ya miezi 3!
 
Kwa kweli kabla ya kufikisha 25 nilikuwa Mlevi mbwa saaaana,lakini kipindi hicho 25-30 ndipo nilipo Quit "Alcohol" ilinisaidia sana haswa nilipoweza kubadilisha kazi ambayo endapo nisingeacha pombe ningekuwa bado Ofisi ile ile ya zamani... Nachelea kuitaja na wengi ambao niliwaacha pale bado wapo vilevile...Bora kukuche... Nashukuru Mungu baada ya kuoa nilikunywa responsibly japo kuna siku na-misbehave... Ahsante my dearest wife... you shape me...
 
Nikiwa naanza kazi tu,nilipata kazi yenye mshahara mkubwa,sikuwa na shida ya pesa,nikiwa bado nakaa home. Niliweza kuwasaidia member wa familia yangu kwenye shida zao.Lakini sasa,nilikuwa na boyfriend aliyenigeuza Atm, nilikuwa namlipia kodi ya nyumba na mavazi yake, akanitapeli hadi nikampa pesa akaongeza na kwenda USA,huwezi amini alinisahau baada ya miezi 3!

Pole sana White Angel... Ila shukuru alikuonyesha hayo mapema... Kuna ATM nyingi zinaacha watu kwa mtindo huo pamoja na watoto wawili...kisha zinaoa na mke na bado mnakaa mtaa mmoja...
 
yani ni swali la msingi sana nakumbuka nilikuwa nanafasi nzuri sana kifedha nikachenguliwa na vichupi mpaka nikafulia najuta ile nafasi ningekuwa nayo leo du ningewekeza sana
 
kuanzia 2000-2004 mishahara yangu ya mwezi ilikuwa haikutani
wenzangu walinipiga gepi ile mbaya
mpaka nilipotulia , walu sasa nina vision na mission.
 
Wakuu wote asanteni sana kwa michango yenu.Kwa kweli nimeweza kujifunza mambo mengi tu kutokana na michango yenu.Mungu awabariki sana kwa ukarimu wenu wa kutushirikisha katika mapitio mbalimbali katika maisha yenu

Hapa nimepata darasa Tosha,na naamini bado kuna watu ambao watakua wamefaidika kwa namna moja au nyingine katika michango yenu.Mungu azidi kuwazidishia.Nimefungua hii thread kwa kuwa nataka pia kujifunza kutoka kwa wenzangu ambao wamenitangulia,ndo nimefikisha miaka 25 na muda si mrefu namaliza Chuo.Asanteni sana
 
Back
Top Bottom