Kwa wenye uzoefu na Elimu ya Nje naomba kufahamishwa haya

Kwa wenye uzoefu na Elimu ya Nje naomba kufahamishwa haya

Coster2

Senior Member
Joined
Apr 28, 2019
Posts
168
Reaction score
217
Habari wadau,

Naomba kufahamishwa kitu kimoja, Mimi nikipata admission kwenda kufanya master University of Texas na tayari nimepata F1 visa last week, ila chuo kitafunguliwa Katikati ya August ninachotaka kufahamu ni je naweza kusafiri 60 days before program state date?

Je kwenye pot of entry wake jamaa wa immigration hawawezi kuzingua kwamba nimeenda mapema sana?
 
Habari wadau,

Naomba kufahamishwa kitu kimoja, Mimi nikipata admission kwenda kufanya master University of Texas na tayari nimepata F1 visa last week, ila chuo kitafunguliwa Katikati ya August ninachotaka kufahamu ni je naweza kusafiri 60 days before program state date?

Je kwenye pot of entry wake jamaa wa immigration hawawezi kuzingua kwamba nimeenda mapema sana?
Yes unaweza kikubwa umeshapata visa so ni muda wowote unasafiri ukiwa tyr
 
Habari wadau,

Naomba kufahamishwa kitu kimoja, Mimi nikipata admission kwenda kufanya master University of Texas na tayari nimepata F1 visa last week, ila chuo kitafunguliwa Katikati ya August ninachotaka kufahamu ni je naweza kusafiri 60 days before program state date?

Je kwenye pot of entry wake jamaa wa immigration hawawezi kuzingua kwamba nimeenda mapema sana?
Ni scholarship?
 
Habari wadau,

Naomba kufahamishwa kitu kimoja, Mimi nikipata admission kwenda kufanya master University of Texas na tayari nimepata F1 visa last week, ila chuo kitafunguliwa Katikati ya August ninachotaka kufahamu ni je naweza kusafiri 60 days before program state date?

Je kwenye pot of entry wake jamaa wa immigration hawawezi kuzingua kwamba nimeenda mapema sana?
Tupeane mikakati kupata hizo fursa
 
Back
Top Bottom