Naleta kwenu wana JamiiForums
Kwa wale wenye uzoefu wa kuagiza bidhaa mbalimbali kutoka Dubai kuja Tanzania tupeane experience japo kidogo
EXPERIENCE HUSANI KATIKA;
• Masoko: ni masoko yapi maarufu kwa kuuza nguo,mikoba, electronics devices,simu used nk
• Platform: ni online platform gani zinatumika dubai kuuza bidhaa kama ilivo kwa amazon, eBay,Alibaba, AliExpress,na zingine nyingi.
• Changamoto: Ni changamoto gani /Zipi ambazo wafanya biashara wanapitia katika kuagiza mizigo yao kutoka Dubai kuja Tanzania?