salaaaam.
Jamani mimi ni mtumishi wa serikali Tamisemi. Nina kama mwaka mmoja na nusu sasa tangu nimeanza kazi na sijawahi chukua mkopo mahali popote.
Naomba wanao fahamu, je naweza patiwa mkopo na NMB manake nina barua ya kupangiwa kituo cha kazi tu ila ya kuthibitishwa kazini bado sijafatilia pia bado sijapata tsd namba ila salary slip inasoma vizuri tu na ninazo zote pia kitambulisho cha kazi ninacho.
Naomba wanaojua je ni lazima nifatilie tsd namba na letter of confirmation au naweza pata mkopo bila ivo vitu
Jamani mimi ni mtumishi wa serikali Tamisemi. Nina kama mwaka mmoja na nusu sasa tangu nimeanza kazi na sijawahi chukua mkopo mahali popote.
Naomba wanao fahamu, je naweza patiwa mkopo na NMB manake nina barua ya kupangiwa kituo cha kazi tu ila ya kuthibitishwa kazini bado sijafatilia pia bado sijapata tsd namba ila salary slip inasoma vizuri tu na ninazo zote pia kitambulisho cha kazi ninacho.
Naomba wanaojua je ni lazima nifatilie tsd namba na letter of confirmation au naweza pata mkopo bila ivo vitu