The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Habari wadau, kazi iendelee
Kwa wale wenye uzoefu wa biashara ya simenti tupeni dondoo Kwa maana ya faida, changamoto na namna ya upatikanaji.
Hii ni moja ya biashara nayopenda kuifanya japo baada ya kuuliza hapa na pale,kuna jamaa alisema eti Ili uone faida yake ni nzuri mtu akianza na mzigo wa Tani 60 yaani mifuko 1,200 sawa na semi 2.
Sasa baada ya kuchakata nikaona hapo si chini ya mtaji wa mil. 20.
Kwa wazoefu hivi haiwezekani kuanza na wastani wa mil.10 yaani Tani 30 ila niwe na vijiwe 2? Ushauri tafadhari.
Kwa wale wenye uzoefu wa biashara ya simenti tupeni dondoo Kwa maana ya faida, changamoto na namna ya upatikanaji.
Hii ni moja ya biashara nayopenda kuifanya japo baada ya kuuliza hapa na pale,kuna jamaa alisema eti Ili uone faida yake ni nzuri mtu akianza na mzigo wa Tani 60 yaani mifuko 1,200 sawa na semi 2.
Sasa baada ya kuchakata nikaona hapo si chini ya mtaji wa mil. 20.
Kwa wazoefu hivi haiwezekani kuanza na wastani wa mil.10 yaani Tani 30 ila niwe na vijiwe 2? Ushauri tafadhari.