Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Huyo mtoto ni wewe. Kwa akili ya kawaida mzazi hawezi kuja kuhangaika akaacha kijana mtu mzima asijue afanye nini!Habari wajf. Naomba msaada kijana wangu nimemtafutia simu aina ya Tecno pop 7 shida ipo kwenye sms anapotaka kutuma ujumbe Inacomand atume Kwa lakini Moja tu na haimpi choice ya line either 1 or 2 na amecheza setup bado shida na inaonesha sms za line Moja tu. Sms za line nyiingine haizionekani. Msaada wenye ujuvi tafadhali.
First mistake ame purchase technoHabari wajf. Naomba msaada kijana wangu nimemtafutia simu aina ya Tecno pop 7 shida ipo kwenye sms anapotaka kutuma ujumbe Inacomand atume Kwa lakini Moja tu na haimpi choice ya line either 1 or 2 na amecheza setup bado shida na inaonesha sms za line Moja tu. Sms za line nyiingine haizionekani. Msaada wenye ujuvi tafadhali.
Ikifika Kwenye itel batan usisahau kunistua lo
Nenda setting search simcard management nenda sehemu iliyoandikwa ask every time.Habari wajf. Naomba msaada kijana wangu nimemtafutia simu aina ya Tecno pop 7 shida ipo kwenye sms anapotaka kutuma ujumbe Inacomand atume Kwa lakini Moja tu na haimpi choice ya line either 1 or 2 na amecheza setup bado shida na inaonesha sms za line Moja tu. Sms za line nyiingine haizionekani. Msaada wenye ujuvi tafadhali.
Umeuliza watoto wenzio?Habari wajf. Naomba msaada kijana wangu nimemtafutia simu aina ya Tecno pop 7 shida ipo kwenye sms anapotaka kutuma ujumbe Inacomand atume Kwa lakini Moja tu na haimpi choice ya line either 1 or 2 na amecheza setup bado shida na inaonesha sms za line Moja tu. Sms za line nyiingine haizionekani. Msaada wenye ujuvi tafadhali.
Nakazia ✍️ ✍️Itakua umeset hivo
Nenda kwenye settings Upande wa sim card management.. Kwenye sms click line unayotaka iwe inatuma sms
Au weka option ya ask everytime!
Cc Smart911