Kwa wenye vipara au vipara vinavyoanza

Kwa wenye vipara au vipara vinavyoanza

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,130
Reaction score
8,362
Yatafute haya mafuta.. Tumia ndani ya miezi miwili uje utuletee mrejesho
IMG_20181221_071053.JPG
IMG_20181221_071043.JPG
 
Nipo around 34 nywele zimeisha kichwani ngoja nijaribu ukiwa unawaza Sana sjui hili husababisha nywele kutoka kichwani
Magonjwa ya ngozi na ukosefu wa virutubisho husababisha nywele kuwa weak... Hvyo kutoka kwa urahisi kichwani. Jaribu hayo am sure yataleta difference.. Mm nmeyatumia kipara kimesepa.
 
Magonjwa ya ngozi na ukosefu wa virutubisho husababusha nywele kuwa weak... Hvyo kutoka kwa urahisi kichwani. Jaribu hayo am sure yataleta difference.. Mm nmeyatumia kipara kimesepa.
Asante nitanunua nianze kutumia Leo ngoja nitafte Kama nitapata
 
Magonjwa ya ngozi na ukosefu wa virutubisho husababisha nywele kuwa weak... Hvyo kutoka kwa urahisi kichwani. Jaribu hayo am sure yataleta difference.. Mm nmeyatumia kipara kimesepa.
Yanapatikana wapiiiii???

Mimi natumia ya t444z naaona mabadiliko kwa mbaaali sana.

Haya naweza yapata wapi ili niyatumie?
 
Aaah mimi hiii siamini bhana.
kipara ni nature ,kama asili yenu kwenu kuna vipara utakomaza utosi tu kwa madawa ,kwani kipara kina tatizo gani mpaka kupambana nacho.
sory kama nimekuharibia biashara yako mkuu
 
Back
Top Bottom