Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hujawahi kunitambulisha wengine.Haha nina kaka wengi we unamjua huyo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kunitambulisha wengine.Haha nina kaka wengi we unamjua huyo tu
Mbona dawa hii ni ya mba?
Ni ya mba but inamatokeo chanya kwenye uotaji wa nywele.. Trust me
Yanapatikana wapiiiii???
Mimi natumia ya t444z naaona mabadiliko kwa mbaaali sana.
Haya naweza yapata wapi ili niyatumie?
Mkuu samahanYatafute haya mafuta.. Tumia ndani ya miezi miwili uje utuletee mrejeshoView attachment 973513View attachment 973514
2 months then leta mrejesho
[emoji23][emoji23]Aisee katika vitu ninavyovihusudu basi ni kipara changu..! Yaani nakipenda mpaka nabanwa na haja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila nikijiangalia kwenye kioo naona namna ninavyotokelezea na masculinity ya akina Jason Statham pamoja na bruce wills basi nazidi kufurahia kipara changu[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmefwata trend ya sasa mkuu[emoji23][emoji23]
Eti wabanwa na haja
Wewe huna kipara?[emoji23][emoji23]
Eti wabanwa na haja
Sina kiparaWewe huna kipara?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmefwata trend ya sasa mkuu
Sulfur sio salama kwa ngozi yako Im sure japo sio tabibu