Fazz
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 578
- 1,241
Moja kwa moja kwenye mada
Ndugu zangu watanzania wenzangu kuna watu wana wagonjwa hospitali ya mloganzila lakini baada ya kufika pale mtu au watu waliokuja na mgonjwa wanakosa sehem ya kukaa au kuishi kipindi wapo na mgonjwa kutokana na jografia ya hospitali ni mbali na guest au hoteli hivyo nimekuja na suluhisho
Kipo chumba kimoja master choo ndani ndani utakuta friji ,jiko la gas , sufuria tatu , chupa za chai mbili , hotpot mbili na kisabufa kidogo .. hii sio gest ni kama upo kwako na ni karibu kabisa na hospitali km 3 kutoka mloganzila ..utaweza kulala na kumwandalia mgonjwa chakula ukiwa karibu na hospitali gharama ni 20k per day kwa maelezo zaidi njoo dm
Nb : Pesa haitafutwi inategwa Mh Chalamila rc dsm
Ndugu zangu watanzania wenzangu kuna watu wana wagonjwa hospitali ya mloganzila lakini baada ya kufika pale mtu au watu waliokuja na mgonjwa wanakosa sehem ya kukaa au kuishi kipindi wapo na mgonjwa kutokana na jografia ya hospitali ni mbali na guest au hoteli hivyo nimekuja na suluhisho
Kipo chumba kimoja master choo ndani ndani utakuta friji ,jiko la gas , sufuria tatu , chupa za chai mbili , hotpot mbili na kisabufa kidogo .. hii sio gest ni kama upo kwako na ni karibu kabisa na hospitali km 3 kutoka mloganzila ..utaweza kulala na kumwandalia mgonjwa chakula ukiwa karibu na hospitali gharama ni 20k per day kwa maelezo zaidi njoo dm
Nb : Pesa haitafutwi inategwa Mh Chalamila rc dsm