Siasa Basi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 1,493
- 4,281
Jamani habari za jioni wote. Poleni na miangaiko ya kulijenga taifa. Nilikuwa nahitaji ushauri wenu kwa nyinyi wenyeji wa Kigamboni.
Je kwa wenyeji wa Kigamboni ni maeneo gani mazuri ya biashara hii? Mji mwema, Kibada, Mikadi au wapi nipeni ushauri wenu. Kwa sasa naishi Sinza, mwenzi ujao naamia Kigamboni. Mpango wangu biashara ikisimama vizuri naachana na kazi.
Maweni...!!! near Nakos supermarket
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Uko sahihi. Maeneo yoyote karibu na maduka makubwa yenye kuingia na kutoka kwa watu ni mazuri. Ila supermarket nyingi wateja wake ni kuanzia Mchana . Asubuhi unaweza usifanye Biashara kama sehemu haina watu wengine wenye shughuli zao hapo Karibu.
Ok, Shukrani nafanyia kazi ushauri wakoLete kisiwani huku alafu jitahidi uwe unapika misosi classic mama ntilie wa hapa hovyo misosi yao haileweki
Ubarikiwe kwa ushauri mzuriMaweni...!!! near Nakos supermarket
Mkuu upo kisiwani sehemu gani, njoo uniungishe kwa steven.Lete kisiwani huku alafu jitahidi uwe unapika misosi classic mama ntilie wa hapa hovyo misosi yao haileweki