chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,738
Habari aa Asubuhi wadau.
Naamini kuna wenyeji wa Lushoto humu ndani.
Kwa kifupi nategemea kwenda kununua shamba kwa ajili ya kilimo na ufugaji huko Lushoto, ila kabla sijaenda ningependa kufahamu mambi mawili matatu.
1. Je kuna migogoro ya ardhi huko
2. Nguvu kazi inapatika kwa urahisi
3. uaminifu wa watu wa huko uko nje?
4. Jammi za huko zina wachukulia je watu wa kuja?
Asanteni kwa msaada wenu.
Naamini kuna wenyeji wa Lushoto humu ndani.
Kwa kifupi nategemea kwenda kununua shamba kwa ajili ya kilimo na ufugaji huko Lushoto, ila kabla sijaenda ningependa kufahamu mambi mawili matatu.
1. Je kuna migogoro ya ardhi huko
2. Nguvu kazi inapatika kwa urahisi
3. uaminifu wa watu wa huko uko nje?
4. Jammi za huko zina wachukulia je watu wa kuja?
Asanteni kwa msaada wenu.