Kwa wenyeji wa Morogoro, naomba muelekeo wa eneo linaitwa Kihonda Mkundi, Makunganya

Kwa wenyeji wa Morogoro, naomba muelekeo wa eneo linaitwa Kihonda Mkundi, Makunganya

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Habari wanajf,

Kwa wale wenyeji wa Morogoro mjini tu, mwezi ujao natarajia kufiko Morogoro ila sehemu ninayoenda ni Kihonda Mkundi na Makunganya. Naomba msaada nikifika MOROGO mjini na Basi nitaenda uelekeo gani?

Naomba kuwasilisha.
 
Habari wanajf, kwa wale wenyeji wa Morogoro mjini tu,mwezi ujao natarajia kufiko Morogoro ila sehemu ninayoenda ni Kihonda Mkundi na Makunganya. Naomba msaada nikifika MOROGO mjini na Basi nitaenda uelekeo gani? Naomba kuwasilisha.
Je unaunga mkono bandari kuingia ubia na DP world?
 
kihonda jeshini.miaka ya 2000 maji yalikuwa yanateremka kutoka milimani.baridiii ila sasa imebaki story
 
Back
Top Bottom