Kwa Weusi, Jux na Vanessa: Hip hop na R&b kutoboa inawezekana, ila Afrika ni ngumu sana

Kwa Weusi, Jux na Vanessa: Hip hop na R&b kutoboa inawezekana, ila Afrika ni ngumu sana

Nimeanza kuona weusi na Vanessa wanatumia resources kibao kujitangaza AFRICA ila mimi kwa mtazamo wangu naona ni ngumu. MOJA YA SIFA YA MALENGO NI KUWA Lazima yawe ACHIRVABLE( yawe yanatimilika) wawe makini wanaweza tumia mtonyo kibao wakaishia patupu

v Yawezekana hawa jamaa wa WEUSI, na VANESSA wana malengo mazuri sana ya kujulikana kimataifa ambapo itawasaidia kupiga hela na kuitangaza bongo lakini ukweli utabaki pale pale HIP HOP na R&B haziwezi kutoboa mipaka si kwa wasniii wa bongo tu : mimi nimekuwa hadi hapa nilipo sijawai ona msanii wa hip hop au R&B akitusua Africa nzima hadi nje, wapo waliojaribu kwa R&B km akina 2face lakini kwa HIP HOP ni ngumu sana,ili kutoboa lazima uje na mziki wenye midundo tofauti ; angalia wasnii waliotoboa Africa , akina seif keita,yous ndou, makeba, makoma, wa congo, p square mafiki zorro. Ivon chaka chaka . HAYA NTAJIE WASANII 3 TU WA R& B, HIP HOP waliotusua Africa na ulaya

v Huwezi peleka hip hop na r& b America na ulaya ; muulizeni AY keshafanya weee mambo kibao lakini wapi alipo hata Africa tu haimjui: hata kwa ma black America wenyewe kutoboza wanafanya kazi kweli kweli: na sisi wabongo tunawajua kwa Sababu bado watangazaji na ma DJ wanaona ni ujanja kupiga na kujua nyimbo za nje ndo maana unakuta DJ wanaona bora apige wimbo wa rihanna ambaye yuko hukooooo amarica hajui hata dar es salaam kuliko kupiga nyimbo ya 20%,

v Mziki ni utamaduni na kila nchi inakumbatia wasnii wake hata hao wanaijeria wameshindwa toboa America na ulaya

v Nyimbo km ya navy kenzo ile ya game inaweza toboza, ndo maana mtu kama saida karoli, mr nice, diamond kiaina wameweza
v Huyo dogo niki wa pili ana PHD BADALA KUUMIZA KICHWA JINSI GANI WANAWEZA KUTUMIA SOKO LA BONGO AMBALO BADO HATA ROBO HAWAJALITUMIA KUPIGA HELA wao wanataka kukomaa eti watusue Africa kwa HIP HOP?

Ndugu "archivable" unakosea kujua ya kuwa America wasanii wenye mkwanja ni wa hip hop pekee na ni mziki unaopendwa sana pia asili yake ni mtu mweusi it doesn't matter ametokea wapi maana black Americans ni zao la mwafrika. Tukija kwa akina Joh na vee money wana uwezo mkubwa wa kutusua Africa na dunia kiujumla kwa juhudi zao binafsi sababu ya creativity yao kwenye rnb na hip hop. Msanii kama AKA Ana market kubwa kuliko hata kina Diamond na ameuza sana album yake ya "Levels.
Kuna kina ice prince na phyno pia wanapiga pesa ndefu. Cha muhimu sio kufata mkumbo sababu kina flani wanauza issue ni kuboresha kazi tu track kama nusu nusu imezaa matunda mazuri.
 
Kwanini hawatusui? ngoja nikupe darasa kidogo Hip Hop ya Afrika wanadhani ni midundo bila kujali ni nini unachoimba na lyrics zako.

America wako vizuri sana kwenye uandishi sie bado ukisikia mistari ya mtu kama AKA, SARKODIE sijui ICE PRINCE kiukweli ni ya kitoto kama mtu umezoea kuwasikiliza kina drake, kendrick, yelawolf, big krit, tech n nine e.c.t.

Producers pia wanachangia eti mtu kama nahreel atengeneze mdundo ambao utashindana na watu kama kina just blaze, bangladesh, pollow da don, alchemist ni kitu ambacho hakipo.

Pia sie hatuna origin yetu ya music bado hatuna ladha ya music ya kwetu tunatakiwa tuwe na kitu chetu wenyewe ndio maana mdogo mdogo, ya diamond naikubali ile ndio style yetu ya music tuwekeze kwenye mduara.

Kingine ni ulimbukeni wa ma-dj wa bongo hawajui mziki wa nje..

AKA anaandika vizuri mkuu. Pitia mashahiri yake.
 
Back
Top Bottom