Kwa yalionipata nimekoma kufanya mapenzi gizani

Kwa yalionipata nimekoma kufanya mapenzi gizani

Duuh! huyo dada nae kakukomoa tuu anatumiaje meno? na wewe ulikuwa husikii maumivu?
 
si yale menooo, Yamekatika katika na ile rang ndo kbsaaa, Uskasike lkn mm mwenyewe wa huko huko[emoji12] [emoji12]
Hakuna mwanamke nampenda kama mwenye meno ya kiarusha yale ya rangi rangi.

Ila hii story ya jamaa kidogo mmmhhhh...!
 
Kuna kaka alinihadithia story tofauti kidogo na ya kwako, mdada very decent mtoto wa gate, alimaliza form six lakini matokeo hayakuwa mazuri sana, alipata direct employment kwenye ofisi yao (kwa kujuana). Kaka hangaika karibu miezi mitatu kufuzia mtoto, amweleze nini, mtoto asubuhi anashushwa na 4x4 yenye kiyoyozi na jioni anakuja kuchukuliwa.

Kwa shida sana mkaka alimtoa lunch, baada ya hapo ni kama alifungua njia, mpaka siku mdada ameaga kwao anakwenda kwenye sherehe kwa rafiki yake. Mkaka kuchukua chumba hotelini, wamelala ananiambia imefika saa sita usiku kumbe dada kikojozi, godoro limelowa kabisa. Makaka amelowa mikojo. Khe, imefika J3 mkaka amebadilika hamtaki tena yule dada.
Mimi simuachi namtafutia pampers si ni siri yangu sema kojo la mtu mzima mmh
 
Kuna kaka alinihadithia story tofauti kidogo na ya kwako, mdada very decent mtoto wa gate, alimaliza form six lakini matokeo hayakuwa mazuri sana, alipata direct employment kwenye ofisi yao (kwa kujuana). Kaka hangaika karibu miezi mitatu kufuzia mtoto, amweleze nini, mtoto asubuhi anashushwa na 4x4 yenye kiyoyozi na jioni anakuja kuchukuliwa.

Kwa shida sana mkaka alimtoa lunch, baada ya hapo ni kama alifungua njia, mpaka siku mdada ameaga kwao anakwenda kwenye sherehe kwa rafiki yake. Mkaka kuchukua chumba hotelini, wamelala ananiambia imefika saa sita usiku kumbe dada kikojozi, godoro limelowa kabisa. Makaka amelowa mikojo. Khe, imefika J3 mkaka amebadilika hamtaki tena yule dada.
Duh!!!hivi kuna watu wanakuwa hadi watu wazima bado wanakojoa kitandani.
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kwaio akati unakwaruzwa hukua unasikia maumivu??
Hawaskuagi huo kunakuwa na habari ingine tu hapo kusafisha bunduki na oil basi baada ya tendo hilo na mishipa kula na mawazo kutoka huko ndipo maumivu utayasikia.
 
Huenda pia kende zako mkuu ni "substandard"
 
Back
Top Bottom