Pre GE2025 Kwa yaliyojitokeza Mkutano Mkuu wa CCM, Hakika Kikwete ni mtoto wa mjini na ni jabali la siasa

Pre GE2025 Kwa yaliyojitokeza Mkutano Mkuu wa CCM, Hakika Kikwete ni mtoto wa mjini na ni jabali la siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari

Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni

Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.

Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya

Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
 
Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari

Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni

SIasa, ni mchezo kama draft, CCM ikisha fanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa

Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasukko huo ungekua na madhara gani hasi au chanya

Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Wamevunja katiba ya CCM.
 
L
Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari

Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni

SIasa, ni mchezo kama draft, CCM ikisha fanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa

Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasukko huo ungekua na madhara gani hasi au chanya

Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Lilipigwa Goma la CCM INA WENYEWE Nikasema Kwishnei
 
Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari

Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni

SIasa, ni mchezo kama draft, CCM ikisha fanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa

Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasukko huo ungekua na madhara gani hasi au chanya

Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Muswada wote wa Ile komedi uliandikwa, kuhaririwa na kuongozwa na Kikwete full stop.
Kizimkazi hana ujasiri huo.
 
Mzee ni akili kubwa
Bimkubwa anacheza karata zake na wote..........lazima abalance ...,ndo maana kule Arusha kuna yule mtu, wale na wao wana target zao........kuletwa Wasira nako ni katika harakati za kubalance.........ule ukanda kuuchinja ni ngumu.......hawana ma godfather ila wanategemea zaidi idadi yao
 
Back
Top Bottom