5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
mbowe atafanya namna tuuChadema bila kupewa Lissu hali itakuwa mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbowe atafanya namna tuuChadema bila kupewa Lissu hali itakuwa mbaya
JK ndio Rais kivuliCcm nzima umemuona huyo tu??
NINA MUOMBEA MUNGU AMPE UMRI MREFUKikwete akifa kile chama watagawana mbao
kikwete amewakeketa!!Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari
Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni
Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.
Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya
Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Kama ndio hivyo maji wataita mma dadadadekiIle ya kumalizia kiporo Cha JPM haikua ya mama Kwa iyo ndo tunaanza fresh,kumi tena
Nakuona cha mtoto katika siasa za CCM tena mtoto kikojozi kabisa .CCM ni taasisi inajua kucheza games uliwahi kumsikia marehemu Makufuli alikuwa akiwaambia kuna baadhi ya watu wanawashwa wanajiteka wenyewe wakicheka wenyewe hiyo ndio CCM .By the way Kikwete alikuwa ktk G55 kama hujui uliza ni nani hao so wacha wale raha zao .CCM haitoki madarakani hata kama kutakuwa na mpasuko vipi zile ni propaganda tu hao wanaojidai kuchukua fomu ni usaniiii tu .Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari
Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni
Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.
Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya
Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Uhuni uliopangwa mapemaNilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari
Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni
Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.
Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya
Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Hakuna CCM inaweza kupasuka,Rais wa nchi ya Tanzania ana mamlaka makubwa sana.Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari
Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni
Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.
Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya
Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Huyo mama mwenyewe kachimba mkwara wenzake kupita majimboni, lakini wanafiki kusema yeye mgombea hakupinga anachekelea tu! Angekua bold kusema pia ni mapema sana kuleta hiyo hoja na wala azimio lisingewekwaNaitafuta hiyo katiba nione ni ibara gani iliyokataza mkutano mkuu kuweka AZIMIO
Hakuna CCM inaweza kupasuka,Rais wa nchi ya Tanzania ana mamlaka makubwa sana.
Na isitoshe hakuna mwanasiasa kwa sasa maarufu mwenye uwezo wa kuyumbisha chama.
Si unaona kitengo kimehakikisha Lisu anakua mwenyekiti!!?Subiri uone picha sasa!
Kazi ndio imeanza rasmi!
Mungu alishamaliza kupanga long timeBinaadamu wakati tunapanga na Mungu nae anapanga pia!!
Kwa hiyo kilichobaki ni utekelezaji wake tu!!Mungu alishamaliza kupanga long time
Kabla hatujazaliwa