Pre GE2025 Kwa yaliyotokea 2015, 2019 na 2020 na yanayoendelea nimekata tamaa ya kupiga kura kabisa kama kuna ushauri wa kisaikolojia naomba nisaidiwe

Pre GE2025 Kwa yaliyotokea 2015, 2019 na 2020 na yanayoendelea nimekata tamaa ya kupiga kura kabisa kama kuna ushauri wa kisaikolojia naomba nisaidiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Uchafu na dhuruma za uchaguzi mkuu wa 2015 wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 na kinachoendelea sasa dhidi ya wapinzani, utekaji, kupoteza watu na usanii wa 4R na kinachoitwa tume huru ya uchaguzi nimeamua sipigi kura tena kwakuwa ni kupoteza muda na nguvu.

Chaguzi zenye haki ziliisha enzi za Nyerere hadi Mkapa tu. Sioni cha kunishawishi kwenda kuboresha taarifa na kupiga kura wakati watu wanamatokeo mfukoni.

Soma Pia: Taarifa za kuwepo kwa uchakachuaji matokeo zinaweza kuwa na lengo la kuwakatisha tamaa waliopanga kupiga kura kwa upinzani
 
Uchafu na dhuruma za uchaguzi mkuu wa 2015 wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 na kinachoendelea sasa dhidi ya wapinzani, utekaji, kupoteza watu na usanii wa 4R na kinachoitwa tume huru ya uchaguzi nimeamua sipigi kura tena kwakuwa ni kupoteza muda na nguvu.

Chaguzi zenye haki ziliisha enzi za Nyerere hadi Mkapa tu. Sioni cha kunishawishi kwenda kuboresha taarifa na kupiga kura wakati watu wanamatokeo mfukoni.

Soma Pia: Taarifa za kuwepo kwa uchakachuaji matokeo zinaweza kuwa na lengo la kuwakatisha tamaa waliopanga kupiga kura kwa upinzani
una haiba ya uwanawake ukute we ni shoga
 
Uchafu na dhuruma za uchaguzi mkuu wa 2015 wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 na kinachoendelea sasa dhidi ya wapinzani, utekaji, kupoteza watu na usanii wa 4R na kinachoitwa tume huru ya uchaguzi nimeamua sipigi kura tena kwakuwa ni kupoteza muda na nguvu.

Chaguzi zenye haki ziliisha enzi za Nyerere hadi Mkapa tu. Sioni cha kunishawishi kwenda kuboresha taarifa na kupiga kura wakati watu wanamatokeo mfukoni.

Soma Pia: Taarifa za kuwepo kwa uchakachuaji matokeo zinaweza kuwa na lengo la kuwakatisha tamaa waliopanga kupiga kura kwa upinzani
Baada ya 1965 nina shaka kubwa sana kama kumewahi kuwa na uchaguzi huru na wa haki.
 
kwangu mimi uchaguzi ambao watu wengi waliumizwa ni wa 2010,
 
uchaguzi wa 2015 ndo uchaguzi pekee ambao uliongeza viti vingi vya upinzania ubunge na madiwani
Hivi ndio kipindi cha kina Joshua nasari na kina lijualikali?🤔
 
Uchafu na dhuruma za uchaguzi mkuu wa 2015 wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 na kinachoendelea sasa dhidi ya wapinzani, utekaji, kupoteza watu na usanii wa 4R na kinachoitwa tume huru ya uchaguzi nimeamua sipigi kura tena kwakuwa ni kupoteza muda na nguvu.

Chaguzi zenye haki ziliisha enzi za Nyerere hadi Mkapa tu. Sioni cha kunishawishi kwenda kuboresha taarifa na kupiga kura wakati watu wanamatokeo mfukoni.

Soma Pia: Taarifa za kuwepo kwa uchakachuaji matokeo zinaweza kuwa na lengo la kuwakatisha tamaa waliopanga kupiga kura kwa upinzani
If you isolate yourself or boycott from taking part in political administrations don't blame to be ruled by a fool later on 🐒

kaa nyumbani kwa amani angalia tv kwa makini wakitangazwa watakao kuongoza, na lazima utaongozwa tu kwa mujibu wa sheria, upende usipende,

hata hivyo,
ni muhimu zaid kumuona daktari wa masuala ya matatizo ya saikolojia bila kuchelewa kabla ya hali yako kua mbaya zaid 🐒
 
If you isolate yourself or boycott from taking part in political administrations don't blame to be ruled by a fool later on 🐒

kaa nyumbani kwa amani angalia tv kwa makini wakitangazwa watakao kuongoza, na lazima utaongozwa tu kwa mujibu wa sheria, upende usipende,

hata hivyo,
ni muhimu zaid kumuona daktari wa masuala ya matatizo ya saikolojia bila kuchelewa kabla ya hali yako kua mbaya zaid 🐒
hapa umeufunga mjadala
 
Uchafu na dhuruma za uchaguzi mkuu wa 2015 wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 na kinachoendelea sasa dhidi ya wapinzani, utekaji, kupoteza watu na usanii wa 4R na kinachoitwa tume huru ya uchaguzi nimeamua sipigi kura tena kwakuwa ni kupoteza muda na nguvu.

Chaguzi zenye haki ziliisha enzi za Nyerere hadi Mkapa tu. Sioni cha kunishawishi kwenda kuboresha taarifa na kupiga kura wakati watu wanamatokeo mfukoni.

Soma Pia: Taarifa za kuwepo kwa uchakachuaji matokeo zinaweza kuwa na lengo la kuwakatisha tamaa waliopanga kupiga kura kwa upinzani
Yaliyofanyika 2015 kwenye Uchaguzi Mkuu hayakufanywa na JPM !
Sasa hapo ndipo Haters wa JPM wanaweza wakafanya Observation zao vizuri wakajua ni nani aliyeanzisha huo mchezo mchafu 😅🙏🙌

Hongera kwa Bandiko Zuri sana 🙌👍👍
 
tatizo lenu ni moja mnahisi uchaguzi uliobora ni ule ambao utampitisha mpinzani tu, asipopita mpinzani basi haukua wa haki
Wewe jiulize 1. kwa nini matokeo ya Urais hayahojiwi kwenye chombo chochote ikiwemo mahakama ngazi zote? 2. Kwa nini tume ya uchaguzi, ikiwemo wafanyakazi wake haishitakiwi kwa jambo lolote lile linalohusu uchaguzi? 3. Kwa nini kwenye baadhi ya vituo matokeo uchelewa kutangazwa?


View: https://youtu.be/bsMYAk6cWaE?si=afRMv50-D_GP6abJ
 
Back
Top Bottom