Kenya 2022 Kwa yanayoendelea Kenya, Nyerere apongezwe kuondoa ukabila

Kenya 2022 Kwa yanayoendelea Kenya, Nyerere apongezwe kuondoa ukabila

Kenya 2022 General Election
..hata mimi haya matokeo yamenishangaza.

..nilitarajia Raila angeshinda kwasababu ya kuungwa mkono na Raisi Kenyatta.

..nasubiri wachambuzi wa siasa za Kenya watueleze ni nini haswa kimepelekea matokeo haya.

..kwa upande mwingine Raila hajashindwa vibaya.
Ila mm nmefurahi mno Ruto kushinda, nngekuwa Mkenya aisee leo lazima nngemwagilia moyo.
 
Ila mm nmefurahi mno Ruto kushinda, nngekuwa Mkenya aisee leo lazima nngemwagilia moyo.

..ni jambo gani lilitokea ktk uchaguzi wa kenya ungetamani litokee huku tanzania?

..au kuna mambo gani mazuri ktk uchaguzi wa kenya yanafaa kuigwa na tanzania?

..na kasoro zipi zimejitokeza ktk uchaguzi huu watanzania tunapaswa kujiepusha nazo?
 
..ni jambo gani lilitokea ktk uchaguzi wa kenya ungetamani litokee huku tanzania?

..au kuna mambo gani mazuri ktk uchaguzi wa kenya yanafaa kuigwa na tanzania?

..na kasoro zipi zimejitokeza ktk uchaguzi huu watanzania tunapaswa kujiepusha nazo?
Nilichopenda ni ile matokeo kuwa ya wazi ila kama kawaida ya wapinzani wa Kiafrika ni lazima agomee matokeo.
Kitu ambacho sijapenda ni ile tume kuvurugika hapo ndipo nilipoamini kuwa mnaweza mkawa na tume huru ya uchaguzi lkn kama sio watu sahihi bc ni kazi bure.
 
Nilichopenda ni ile matokeo kuwa ya wazi ila kama kawaida ya wapinzani wa Kiafrika ni lazima agomee matokeo.
Kitu ambacho sijapenda ni ile tume kuvurugika hapo ndipo nilipoamini kuwa mnaweza mkawa na tume huru ya uchaguzi lkn kama sio watu sahihi bc ni kazi bure.

..kwa hiyo unadhani zoezi la kampeni, kupiga na kuhesabu kura hapa Tanzania linapaswa kuboreshwa kifikia viwango vya Kenya?

..huenda wale wajumbe wana hoja zenye mashiko hivyo tuwasikilize kwanza kabla ya kuwahukumu.

..pia itapendeza kama watakwenda MAHAKAMANI kuwasilisha malalamiko yao.
 
..kwa hiyo unadhani zoezi la kampeni, kupiga na kuhesabu kura hapa Tanzania linapaswa kuboreshwa kifikia viwango vya Kenya?

..huenda wale wajumbe wana hoja zenye mashiko hivyo tuwasikilize kwanza kabla ya kuwahukumu.

..pia itapendeza kama watakwenda MAHAKAMANI kuwasilisha malalamiko yao.
Wale wajumbe ni wafuasi wa Odinga, haiwezekani uje uzingue dkk ya 90 wakati tangu mwanzo mnamjua mshindi, wewe unadhani nani aliyemwambia Odinga asije ukumbini mana hajashinda.?
Tz kuwa kama kenya aisee bado sana, hata hivyo hakuna upinzani unaojitambua hapa Tz.
 
Na hapa ndipo tulipofika. Tuna kila kitu lakini ni maskini wa kutupwa
 
Wale wajumbe ni wafuasi wa Odinga, haiwezekani uje uzingue dkk ya 90 wakati tangu mwanzo mnamjua mshindi, wewe unadhani nani aliyemwambia Odinga asije ukumbini mana hajashinda.?
Tz kuwa kama kenya aisee bado sana, hata hivyo hakuna upinzani unaojitambua hapa Tz.

..hata Zanzibar unadhani wapinzani hawajitambui?

..kule kura zao huwa zinafanana na hiki kilichotokea Kenya.

..pia kwa Zanzibar kuna tuhuma kwamba wapinzani wameporwa ushindi kuanzia uchaguzi wa 1995 mpaka 2015.
 
Nasikia tulipata uhuru wa mezani,
Hata babangu angekua kaelimika kidogo tu angepewa...
Msininukuu vibaya.
Ni jambo la uelewa tuu, Tz tulikuwa huru tangu vita vya pili vya dunia baada ya Ujerumani kupigwa ila tulikuwa chini ya usimamizi wa UK, hvy jambo la uhuru wa kisiasa lilikuwa wazi ila mtu wa kuthubutu kudai uhuru huo ndie hakuwepo. Tuachane na mbwembwe nyingi za kisiasa za Nyerere na TANU yake
 
Tanzania hakuna ukabila kwakuwa tanzania ina kabila nyingi na Kanda nyingi.
Tungekuwa na makabila 3 au 4 tu ndo ungruona ukabila live live
 
..hata Zanzibar unadhani wapinzani hawajitambui?

..kule kura zao huwa zinafanana na hiki kilichotokea Kenya.

..pia kwa Zanzibar kuna tuhuma kwamba wapinzani wameporwa ushindi kuanzia uchaguzi wa 1995 mpaka 2015.
Zanzibar kule nadhani ni sheria yao tuu upinzani kuwepo ila bado sio sababu ya kusema upinzani wanajielewa. Ww uliskia wapi upinzani wa Afrika akakubali matokeo hv hv.? Tusubiri movie lingine 2025 linatoka nchini
 
Sky...
Tanganyika hapajapatapo kuwa na tatizo la ukabila tofauti na nchi nyingine za Afrika ya Mashariki.

Tatizo la Tanganyika ni udini na ukisoma historia utakuta tatizo hili lilizuka kwa nguvu baada ya uhuru mwaka wa 1961.
Huu udini upo wapi mbona siuoni?
 
Tanzania ni Taifa kubwa sana huwezi kulifananisha na Kenya. Japo kwenye ukabila na udini ni kweli Nyerere alituweka sawa.

Tukiacha UKABILA na UDINI, Nyerere alikosea sana kutuachia KATIBA mbovu namna hii na tume mbaya kiasi kile.
Hii katiba kwa wakati ule ilifaa sana.. sio sasahivi mambo yamebadilika uzalendo kwa viongozi umepungua sio kama zamani bila kuwa na katiba inatowadhibiti taifa litapoteza muelekeo mazima!!
 
Zanzibar kule nadhani ni sheria yao tuu upinzani kuwepo ila bado sio sababu ya kusema upinzani wanajielewa. Ww uliskia wapi upinzani wa Afrika akakubali matokeo hv hv.? Tusubiri movie lingine 2025 linatoka nchini

..lakini tuseme ni tatizo la waafrika huwa hatukubali kushindwa.

..kwasababu ipo mifano ya vyama tawala kushindwa uchaguzi na kukataa matokeo.

..kwa mfano, Znz mwaka 1995 Ccm walipinga matokeo yaliyoonyesha kwamba wameshindwa.

..Upo USHAHIDI wa barua iliyoandikwa na Ccm kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi wa Znz mwaka 1995.

..Hata Ghana, Malawi, Gambia, etc ambako vyama tawala vilishindwa tuliona kwamba vilipinga matokeo.
 
Bongo hamna ukabila ila kuna uchama 😂😂😂 yani CCM ndio hujiona wana haki zaidi kuliko wapinzani.

..Yap!!

..wamejijengea imani kwamba wana haki ya kudhulumu wapinzani.

..sijui kama unakumbuka Ccm walivyowatoa ktk nafasi zao mameya wa Dsm na Iringa mjini.

..au Meya Boniface Jacob wa ubungo alivyoondolewa ktk nafasi yake kwa kutumia barua ya kughushi.
 
Back
Top Bottom