πππLakin si ulielewa vzuriMsamiati mpya huu, nimeupenda.
Tangu awali mimi nilikuwa na mashaka kuhusu Treni ya umeme. Kwanza umeme wetu sio stable pili ni rahisi kuhujumiwa na tatu watanzania bado hawajawa kuwa civilised! Bora tungejenga reli kisha tumpatie mwelezaji aiendeshe.Inasikitisha kuona kwamba taifa linafanya mchezo wa maigizo yanayoligharimu taifa mabilioni ya dola na kumbe hawako serious.
Tumejenga reli ya Umeme kwa gharama kubwa sana, halafu kutoka huko Kadogosa mkurugenzi wa shirika la reli anakuja na ajenda ya kununua vichwa vya dizeli.
Tunafahamu kwenye mchakato wa MANUNUZI ndio kuna wizi MKUBWA wa FEDHA ZA UMMA.
Kama Umeme unahujumiwa, je solution ni kurudi nyuma tulikotoka au ni kupambana na kudhibiti hujuma taifa liende mbele?
KAZI ya idara ya usalama wa taifa ni mshauri mkuu wa taifa na mlinzi wa usalama wa miundombinu Na maendeleo ya taifa.
Cha kusikitisha, eti nao wameshindwa kumdhibiti Kadogosa na mipango yake dhalimu ya kulihujumu taifa letu.
Uzalendo UKO wapi? Nahisi hiki kinachoendelea ni mlolongo wa uhalifu wa kimkakati unaohusisha mamlaka na watu wakubwa ndani ya serikali.
Hatuwezi kusonga mbele kama taifa iwapo watu kama kina Kadogosa wasio na uchungu Na uzalendo wataendelea kuongoza taasisi nyeti za taifa letu.
Rais kama hashiriki mpango huu dhalimu, ampige chini Kadogosa mara moja, achunguzwe na Polisi, Takukuru na idara ya usalama wa taifa.
Akipatikana na hatia afikishwe mahakamani mara moja
Sio CCM bali kikundi ndani ya CCM. TISS inatakiwa iwe ndani ya vyama vyote kuhakikisha maadui hawajipenyezi.Tiss ipo kuakikisha ccm inakaa milele,
Your rightHatuwezi kuendelea bila ya kuitoa CCM madarakani. Katiba ndio Sheria mama. Katiba ya mwaka 1977 ni obsolete, haifai kabisa
CCM Hawana nia ya dhati ya kulipatia taifa letu maendeleo. Miradi yote kwao ni dili.Tangu awali mimi nilikuwa na mashaka kuhusu Treni ya umeme. Kwanza umeme wetu sio stable pili ni rahisi kuhujumiwa na tatu watanzania bado hawajawa kuwa civilised! Bora tungejenga reli kisha tumpatie mwelezaji aiendeshe.
Wala umeme hauna shida kuna Bwawa la Mwl Nyerere sasa hii ya kuanza kununua Makaa ya mawe ni upigaji tuπ πTangu awali mimi nilikuwa na mashaka kuhusu Treni ya umeme. Kwanza umeme wetu sio stable pili ni rahisi kuhujumiwa na tatu watanzania bado hawajawa kuwa civilised! Bora tungejenga reli kisha tumpatie mwelezaji aiendeshe.
Nilishtukia yale matukio ya hivi karibuni eti kuna mtu anaihujumu sgr nikajua tayari mambo yameanzaCCM Hawana nia ya dhati ya kulipatia taifa letu maendeleo. Miradi yote kwao ni dili.
Wao ndio wahujumu namba moja wa SGR
OfcourseSio CCM bali kikundi ndani ya CCM. TISS inatakiwa iwe ndani ya vyama vyote kuhakikisha maadui hawajipenyezi.
Halafu nguruwe za usalama wa taifa ziko kimyaaaa, zimeambiwa huku msinuseNilishtukia yale matukio ya hivi karibuni eti kuna mtu anaihujumu sgr nikajua tayari mambo yameanza
Hawa watu wanaliangamiza taifa. Mungu atusaidie tu jamani,Maana tunafikia mwisho.Inasikitisha kuona kwamba taifa linafanya mchezo wa maigizo yanayoligharimu taifa mabilioni ya dola na kumbe hawako serious.
Tumejenga reli ya Umeme kwa gharama kubwa sana, halafu kutoka huko Kadogosa mkurugenzi wa shirika la reli anakuja na ajenda ya kununua vichwa vya dizeli.
Tunafahamu kwenye mchakato wa MANUNUZI ndio kuna wizi MKUBWA wa FEDHA ZA UMMA.
Kama Umeme unahujumiwa, je solution ni kurudi nyuma tulikotoka au ni kupambana na kudhibiti hujuma taifa liende mbele?
KAZI ya idara ya usalama wa taifa ni mshauri mkuu wa taifa na mlinzi wa usalama wa miundombinu Na maendeleo ya taifa.
Cha kusikitisha, eti nao wameshindwa kumdhibiti Kadogosa na mipango yake dhalimu ya kulihujumu taifa letu.
Uzalendo UKO wapi? Nahisi hiki kinachoendelea ni mlolongo wa uhalifu wa kimkakati unaohusisha mamlaka na watu wakubwa ndani ya serikali.
Hatuwezi kusonga mbele kama taifa iwapo watu kama kina Kadogosa wasio na uchungu Na uzalendo wataendelea kuongoza taasisi nyeti za taifa letu.
Rais kama hashiriki mpango huu dhalimu, ampige chini Kadogosa mara moja, achunguzwe na Polisi, Takukuru na idara ya usalama wa taifa.
Akipatikana na hatia afikishwe mahakamani mara moja
Mkuu ulikuwa na haja ya kutaja watu kwa majina ya Kutweza?Halafu nguruwe za usalama wa taifa ziko kimyaaaa, zimeambiwa huku msinuse
Kazi ya TISS ni kudhibiti hao wanasiasa mafisadi ambao ndio wanakuja kuwa viongozi na kuliangamiza taifa. Tunawataka TISS muwe wazalendo kwa taifa p'se. Angalau taifa lianze kustawi.Si kweli. Hapo ndio kwenye mzizi wa shida
Let us stand up and fight for our nation. Katiba ndio tiba ya udhalimu huuHawa watu wanaliangamiza taifa. Mungu atusaidie tu jamani,Maana tunafikia mwisho.
NI kivumishi cha sifa. Kama ambavyo MTU hodari huitwa jembe/ simba/ dume la nyani etcMkuu ulikuwa na haja ya kutaja watu kwa majina ya Kutweza?
Inamaana uliwahi kuwaamini?Inasikitisha kuona kwamba taifa linafanya mchezo wa maigizo yanayoligharimu taifa mabilioni ya dola na kumbe hawako serious.
Tumejenga reli ya Umeme kwa gharama kubwa sana, halafu kutoka huko Kadogosa mkurugenzi wa shirika la reli anakuja na ajenda ya kununua vichwa vya dizeli.
Tunafahamu kwenye mchakato wa MANUNUZI ndio kuna wizi MKUBWA wa FEDHA ZA UMMA.
Kama Umeme unahujumiwa, je solution ni kurudi nyuma tulikotoka au ni kupambana na kudhibiti hujuma taifa liende mbele?
KAZI ya idara ya usalama wa taifa ni mshauri mkuu wa taifa na mlinzi wa usalama wa miundombinu Na maendeleo ya taifa.
Cha kusikitisha, eti nao wameshindwa kumdhibiti Kadogosa na mipango yake dhalimu ya kulihujumu taifa letu.
Uzalendo UKO wapi? Nahisi hiki kinachoendelea ni mlolongo wa uhalifu wa kimkakati unaohusisha mamlaka na watu wakubwa ndani ya serikali.
Hatuwezi kusonga mbele kama taifa iwapo watu kama kina Kadogosa wasio na uchungu Na uzalendo wataendelea kuongoza taasisi nyeti za taifa letu.
Rais kama hashiriki mpango huu dhalimu, ampige chini Kadogosa mara moja, achunguzwe na Polisi, Takukuru na idara ya usalama wa taifa.
Akipatikana na hatia afikishwe mahakamani mara moja
Hata Mimi ni Mnafiki Wa KujitegemeaInamaana uliwahi kuwaamini?
Ulikuwa na matatizo wewe ila sasa unaelekea kupona.
Nimeelewa tena sana tu, nitautumia mahali kuu-promote πππππLakin si ulielewa vzuri
πππHatariNimeelewa tena sana tu, nitautumia mahali kuu-promote ππ
Tunahitaji watu kwa kuwa serikali hutoka Kenya watu hao.Ili tuendelee tunahitaji sheria kali kama za China Japan South Korea na Nchi kama hizo !