Kwa yanayoendelea,ni suala la muda tu kabla Marekani hawajachukua hatua za kuwawekea vikwazo viongozi fulani wa nchi hii

Mkuu, kwa hali ilivyo sasa na jinsi mambo yanavyiendelea bila pressure kutoka nje hakuna kitakachoendelea. Mabeberu yanahitajika sasa kuliko wakati wowote.
 
Ulitaka akupende wewe????

Shwaini mkubwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Kea hiyo unamaanisha anavyowapenda hao yeye ni shoga? Pia wewe unaependa kusifia sana hao kapimwe malinda. Hata kama inch yako ni duni si kila siku kuabudu taifa lingine kila uamkapo, itafika mda mtataka wawazalishie na wake zenu.
 
Joe Biden angekuwa yupo Bongo kwa sasa angeshakuwa mfungwa huko Segerea.
 
Umeandika vzr Ila hupaswi kuwashtua Hawa wapuuzi usimwamshe alie lala.
 
Wakiwekewa ndio ugumba wako utapona?
 

Subiri miezi michache ijayo wanaume wafanye kweli halafu ndiyo urudi hapa kusema hayo.

Nchi inachungulia kaburi nyie mnafanya siasa za kishamba hapa. Mtakimbia nchi shauri yenu, nyie subirini waje muone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…