Kwa yanayotokea Goma, ni dhahiri vyombo vya dola vinatakiwa kuwa makini zaidi kudhibiti wahamiaji haramu mipakani

Kwa yanayotokea Goma, ni dhahiri vyombo vya dola vinatakiwa kuwa makini zaidi kudhibiti wahamiaji haramu mipakani

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
Uko sahihi sana kuliko sanaa na siku zote naamini kama wewe TATIZO NI SIASA.
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
Una uhakika wahamiaji haramu lazima wapite kwenye boarder posts?
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
Jana nilikuwa maeneo ya tegeta,kuna bar nilikaa jamaa kama sita wote wanaongea kifaransa,sijui ni wakongo au la!
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao

Siasa za Kuwabagua Watu ni jambo la hatari sana katika nchi
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
Nakuunga mkono bro. Hiki ndicho kilichosababisha Mtikila kuuwawa Kama hujui. Nilikuwa nae miaka mingi mno na alikuwa na ushahidi mkubwa mno wa hili jambo. Hii jamii inayojiita wahangaza,WEKA MBALI NA WATOTO!
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao
Kulinda mipaka na kuwa na taarifa sahihi kwa wanaoingia nchini ndo Kila kitu. Isije fika mda Hali ikawa mbaya na akaja kiongozi ambaye atahitaji wazamiaji halamu kurudi kwao akaonekana mbaya kama Trump. Ivyo tuige kwa Trump, kwa sasa anaangaika kuwatoa waliozamia kwake bila taarifa kamili na anaknekana mbaya.
Ivyo nasi tujizatiti kwa taarifa kamili kwa Kila aingiaye.
Naunga mkono hoja.
 
Huyo ni mmoja wao Mkuu. Fuatilia mwanzo wa mjadala kuhusu mzozo wa Congo na M23 utamwelewa.
Tatizo lao wanadhani watu ni wajinga au hawaoni. Wanajiona wenye akili ni wao tu!

Wakiambiwa ukweli wanajificha kwenye kichaka cha "ubaguzi haufai".

Angalau tungewaona wa maana wangempinga PK kwa unyama anaoufanya Congo.

Ajabu wao wanamuunga mkono na kujitukuza kuwa wao ni babalao!

Wakianza kunyooshewa vidole wanaanza ubaguzi haufai.

Dawa yao ni kuambiwa ukweli ili wafahamu majirani zao tunawaonaje!
 
Kulinda mipaka na kuwa na taarifa sahihi kwa wanaoingia nchini ndo Kila kitu. Isije fika mda Hali ikawa mbaya na akaja kiongozi ambaye atahitaji wazamiaji halamu kurudi kwao akaonekana mbaya kama Trump. Ivyo tuige kwa Trump, kwa sasa anaangaika kuwatoa waliozamia kwake bila taarifa kamili na anaknekana mbaya.
Ivyo nasi tujizatiti kwa taarifa kamili kwa Kila aingiaye.
Naunga mkono hoja.
Naam
 
Ni dhahiri kwamba maeneo ya mipakani yanahitaji strict observation ya vyombo vya dola. Kinachotokea Goma, pamoja na mambo mengine, ni laxity katika udhibiti wa maeneo ya mipakani.

Sawa, kuna wa jamii ambazo zinapatikana pande zote za nchi, wale wa kwetu tuwatambue na kuwasajili baada ya kupata taarifa zao za kina.

Idd Amin alivyosema Kagera ni ya Uganda...... inawezekana kijeshi alishindwa, ila anaweza kutumia njia ya kuingiza watu taratibu kwa miaka mingi. Huu mchezo pia anao Rwanda.

Watu wa mipakani watuelewe tu tunapohitaji taarifa nyingi kutoka kwao

..Na Wazanzibari nao wathibitiwe katika ardhi ya Watanganyika.
 
Acha uchoyo mkuu.
Nchi imejaa kila aina ya Watu..
Tutakufa tutaiacha.

Watusti wamejaa kagera na Tabora.
Wahutu wamefika hadi mbeya
Wakongomani tupo nao hapa mjini Dsm kila kona.

Waje Tanganyika kuna ka utulivu .
 
Back
Top Bottom