ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
JifarijiniMechi yao na MAZEMBE sijaona mtu tishio wa kunifanya niende uwanjani na woga
Na ukweli umejidhirisha. Yanga ndiye Bingwa msimu huu. Wa kumzuia hayupo. Kwa aina ya kikosi chao, labda utokee muujiza.Mechi yao na MAZEMBE sijaona mtu tishio wa kunifanya niende uwanjani na woga
kweli wewe utabiriiiKwa hakika leo wananchi wanaenda kufurahi sana wanaenda kuimaliza siku kwa furaha
Kwa kikosi hiki japo hakina muda mrefu pamoja upande wa pili huko ni homa na matumbo ya kuharisha kwa kwenda mbele...wamekua wanyonge sana na kufanya mambo ki uogauoga toka waondokewe na Luis na Chama...hawajiamini kabisa....na hawaiamini timu yao...na hata ukitazama maoni ya wengi mitandaoni na mitaani yanaonyesha hawa mikia tayari wanasubiri kisu tu hapo ifikapo saa kumi na moja jioni!
Kukumbushana tu kwa ambaye hakusikia ni kuwa mgeni rasmi leo ni mh Hussein mwinyi RAIS wa Zanzibar,narudia tena mgeni rasmi ni RAIS wa Zanzibar..hakika itapendeza sana.
Umeona eeh?kweli wewe utabiriii
Bwana kikosi yanga tunacho. Kwa mpira ulivo pigwa simba walipoteana. Na shangaa ball possession inatoka et simba 53%, yanga 47. Uongo mtupu.Umeona eeh?
Mimi nilivyoona mashine tulizo nazo moyo wangu ulijawa amani
Diarra
Khalid aucho
Fiston mayele
Djuma..
Makambo..
Bangala...
Faisal...
bado wengine wapo njee yani sasa hivi namba moja inawachezaji watatu tofauti na msimu uliopitaUmeona eeh?
Mimi nilivyoona mashine tulizo nazo moyo wangu ulijawa amani
Diarra
Khalid aucho
Fiston mayele
Djuma..
Makambo..
Bangala...
Faisal...
bado kesi ya morrison inakujaaNa ukweli umejidhirisha. Yanga ndiye Bingwa msimu huu. Wa kumzuia hayupo. Kwa aina ya kikosi chao, labda utokee muujiza.
Tukishinda kesi ya Morrison tumrudishe apewe kazi ya kufua jezi na kupasi nguo.bado kesi ya morrison inakujaa
Bila shaka baada ya mechi umeona nilichoongeaNa ukweli umejidhirisha. Yanga ndiye Bingwa msimu huu. Wa kumzuia hayupo. Kwa aina ya kikosi chao, labda utokee muujiza.