ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwa hakika leo wananchi wanaenda kufurahi sana wanaenda kuimaliza siku kwa furaha
Kwa kikosi hiki japo hakina muda mrefu pamoja upande wa pili huko ni homa na matumbo ya kuharisha kwa kwenda mbele...wamekua wanyonge sana na kufanya mambo ki uogauoga toka waondokewe na Luis na Chama...hawajiamini kabisa....na hawaiamini timu yao...na hata ukitazama maoni ya wengi mitandaoni na mitaani yanaonyesha hawa mikia tayari wanasubiri kisu tu hapo ifikapo saa kumi na moja jioni!
Kukumbushana tu kwa ambaye hakusikia ni kuwa mgeni rasmi leo ni mh Hussein mwinyi RAIS wa Zanzibar,narudia tena mgeni rasmi ni RAIS wa Zanzibar..hakika itapendeza sana.
Kwa kikosi hiki japo hakina muda mrefu pamoja upande wa pili huko ni homa na matumbo ya kuharisha kwa kwenda mbele...wamekua wanyonge sana na kufanya mambo ki uogauoga toka waondokewe na Luis na Chama...hawajiamini kabisa....na hawaiamini timu yao...na hata ukitazama maoni ya wengi mitandaoni na mitaani yanaonyesha hawa mikia tayari wanasubiri kisu tu hapo ifikapo saa kumi na moja jioni!
Kukumbushana tu kwa ambaye hakusikia ni kuwa mgeni rasmi leo ni mh Hussein mwinyi RAIS wa Zanzibar,narudia tena mgeni rasmi ni RAIS wa Zanzibar..hakika itapendeza sana.