Kwa yeyote anaejua kutafsiri ndoto anisaidie tafadhali.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Nimeota niko na my ex gal porini,mara simba huyoo,ktk kutaka kujiokoa,me ndo nkawa napambana na yule simba lakini cha kushangaza yule simba akaniacha mimi na kumkimbilia yule mmanzi akamrukia,akamrarua then yule mmanzi akawa analia sana huku analiita jina langu bt it was too late for me coz nlikua mbali kdogo,akawa kauliwa ...ndoto ikaishia hapo baada ya mimi kushtuka toka usingzni..naomba kwa mtaalamu yeyote anisave kunipa tafsiri ya hii ndoto..
 
Nimeota niko na my ex gal porini,


Kuota uko na ex wako maana yake utarudi nyuma kimaendeleo, angalia sana assets zako.
Kuota uko porini maana yake utapotea, angalia sana mienendo yako.

mara simba huyoo,


Simba ni alama ya vita na nguvu, angalia sana kuna kishindo cha nguvu cha upinzani kitakufuata.

ktk kutaka kujiokoa,me ndo nkawa napambana na yule simba lakini cha kushangaza yule simba akaniacha mimi na kumkimbilia yule mmanzi


Hata hivyo, haya matatizo yatakayokuja yatakuwa ni "blessing in disguise" kwani yatakutoa katika matatizo yako mengine ya kurudi nyuma kimaendeleo.

akamrukia,akamrarua then yule mmanzi akawa analia sana huku analiita jina langu


Matatizo yako ya kurudi nyuma kimaendeleo yatashindwa nguvu na hii nguvu mpya itakayojitokeza.

bt it was too late for me coz nlikua mbali kdogo,akawa kauliwa


Matatizo yako yatakushawishi lakini hutaweza hata kuyarudia tena.

...ndoto ikaishia hapo baada ya mimi kushtuka toka usingzni..naomba kwa mtaalamu yeyote anisave kunipa tafsiri ya hii ndoto..


Ukija kupita experience hii naomba urudi hapa kueleza usahihi wa tafsiri yangu.
 
...pole sana mkuu,mtaalam wa hayo mambo ya kusadikika(ndoto) alisha faliki.Mambo ya mapenzi hayaitaji mambo ya kubuni kama ndoto,njia nzuri ya kujua afya ya penzi lako ni kuwasiliana na umpenzi wako tofauti na hivyo labda kama unataka kujiingiza ktk mambo ya nguvu za giza ndo uendelee kutafuta tafasili ya ndoto yako...
 

daaaah!!hayo unayoyasema ni kweli au mkwara tu?
 
Du!Bonge la tafsri.Halafu hizi ndoto wakati mwingine zinakera sana.Nakumbuka siku moja niliota niko uchi mtaani.Nilipozinduka usingizini kwanza nilishukuru kwamba kumbe ni ndoto tu,lakini pia nilikasirika sana!
 
halafu ndoto zingine ni nshenzi kweli. Unakuta ndoto inakwenda taratibu, tena hatua kwa hatua utadhani mkanda wa filamu. Ukiamka mpaka unachanganyikiwa na kutokwa jasho kwamba si kweli ila ni ndoto tu. Ah, mindoto haifai kabisa.
 
upo obssessed sana na ex-g wako, though wajifanya kuilazimisha nafsi yako kumwona si chochote

kuvunjika kwa uhusiano wenu, unaona yeye ndio sababu
 
halafu ndoto zingine ni nshenzi kweli. Unakuta ndoto inakwenda taratibu, tena hatua kwa hatua utadhani mkanda wa filamu. Ukiamka mpaka unachanganyikiwa na kutokwa jasho kwamba si kweli ila ni ndoto tu. Ah, mindoto haifai kabisa.
kweli mindoto mingine noma..
 
Ndoto nyingine ni za kweli ndiyo maana kwenye biblia Yusufu alipata sifa kwa kutafsiri/kufasiri ndoto alipokuwa Misri pamoja na Danieli. Wakati mwingine Mungu husema na watu kupitia kwenye ndoto na mapepo nayo hutumia njia hiyo hiyo. Ila hautakiwi kuamini kila ndoto kwani nyingine zinatokana na mambo uliyoyawaza sana kabla ya kulala. Kumbuka pia kwamba mwili ndiyo uwa unalala wakati Roho ipo kazini muda wote.
 
Kwa kawaida ndoto huwa zinatoa msg kinyume-nyume. Huyo mmanzi aliyeliwa na simba ujue hahusiki kabisa na hicho kisanga. Bali uwe na uhakika mhusika hapo ni GF wako wa sasa. Yapo mabaya yanamjia. Kaa chonjo! It is a warning.
 
Mi naona ex-gal fnd wako anapata shida sana,either mgonjwa,au anateseka kwa namna moja au nyingine,na wakumsaidia ni wewe na uko hampo pamoja,ndiyo maana,ukamwona yeye analiwa na simba,wakati wewe upo mbali ukimwangalia.
 
Du!Bonge la tafsri.Halafu hizi ndoto wakati mwingine zinakera sana.Nakumbuka siku moja niliota niko uchi mtaani.Nilipozinduka usingizini kwanza nilishukuru kwamba kumbe ni ndoto tu,lakini pia nilikasirika sana!

Maana ya ndoto yako; utakuwa chizi!
Yakitimia rudi humu utoe ushuhuda lol

But seriously nenda kaombewe!
 

Teh teh mjukuu wa shekh yahaya!
 
Ikb ndoto ni viceversa ukiota msiba ujue itatokea harusi, so hapo umeota x wako analiwa ujue ni ww lol! bt kuliwa sio kwamba utaliwa na simba kwel. utapitia tu ups n downs na vijichalange vya hapa na pale. so get ready! ol in ol muombe mungu bana atengue mabaya yote mbele yako.
 
Duuu, mi nafikiri kwa kuwa huyo X wako mlishaachana, ndiyo maana ndoto imeonyesha yuko porini ....
na huyo simba aliyemrukia kumrarua maana yake kuna wajanja wengine huko wako naye kwa sasa ingawa kilio chake na kuita jina lako yumkini bado anakukumbuka ....
Am joking, sina utaalamu wa kutafsiri ndoto ... Hahaaaa
 


Kiranga nenda kaombe kazi ya 'ULINZI' mbadala wa ikulu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…