Kwa yeyote anayeijua shule ya msingi ikoma iliyopo kishapu mkoani shinyanga please

Kwa yeyote anayeijua shule ya msingi ikoma iliyopo kishapu mkoani shinyanga please

Mwenye kuijua shule ya sekondari Rwabwere kyerwa.
Anijuze 0753689965
Oneni hili pungasese limeweka mpaka number public [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walimu jamani daaaah mbona hatuoni watu wa afya wanafanya hivi [emoji1787]
 
Ingekua vyema sana kama serikali ingetumia njia ya ajira ziwe znatolewa wilayan na cyo kwenye wizara ya mtu anatuma maombi katika wilaya anayoitaji kuajiriwa ingepunguza hizi pupa

Hilo haliwezekani,ajira lazima watumishi wasambazwe nchi nzima ili kuondoa matabaka katika jamii na kuruhusu muingiliano wa kijamii ili kuua ukabila,ukanda,udini n.k
 
Back
Top Bottom