Kwahali hii TFF ijitazame sana la sivyo ligi kuu ya Tanzania haina hadhi ya kuitwa ligi bali ni kichekesho tu na kuibua malalamiko yasiyo na tija.

Malalamiko yenu yanazidi kadri ligi inavyozidi kuwa ngumu.
Bado vile viporo vya Yanga wakati wa Malinzi tunavikumbukwa, hasa ule msemo wa viporo vinaliwa kwa ndimu. Sipendi ukosefu wa utaratibu lakini nafahamu pia kuwa kuimba kupokezana
 
Malalamiko yenu yanazidi kadri ligi inavyozidi kuwa ngumu.
Bado vile viporo vya Yanga wakati wa Malinzi tunavikumbukwa, hasa ule msemo wa viporo vinaliwa kwa ndimu. Sipendi ukosefu wa utaratibu lakini nafahamu pia kuwa kuimba kupokezana
Yanga walikuwa na viporo vinne simba wakaenda TIFUATIFUA kulia. Sasa leo nyie viko 11 sawa na idadi ya wachezaji wenu. Hivi hiyo ni ligi gani duniani uliona huo upuuzi? Kwanini ligi isiendeshwe kwa kanuni? Sitaki kujua mm ni timu gani ila nataka ligi iendeshwe kwa kanuni.
 
Mm nadhan hapa tusizngumzie usimba n uyanga,TFF wanamatatz sana,ligi mbovu n utawala mbovu....basi wanashindwa hata kukopi kwawenzetu kenya au uganda? Kabla ratiba kupangwa z ligi zote africa kwnz CAF wanatoa ratba yao,so kwnn wasiiangalie ratb y CAF ilvyo ndo wakapanga nawao ratba yao..
Shame on tifuatifua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karia mwenyewe ni muimba mipasho tuu siku hizi anatafuta umaarufu kupitia Lissu
 
Simtetei yeyote kati ya Simba na Yanga, lakini kama kuna mtu alitetea Yanga kucheza mechi 10 uwanja mmoja akapimwe akili, na kama kuna mtu anatetea Simba kuwa na viporo mechi 11 akili yake ina walakini.
TFF hii haina tofauti na FAT ya akina Mussa ambayo baada ya Simba na Yanga kila moja kutaka mpira wenye rangi ya jezi ndio uchezwe waliamua kununua mipira miwili yenye rangi za kila timu na kuamuru kila mmoja utumike kipindi kimoja. Eti kura ikapigwa uanze mpira wa timu gani? Huu upuuzi ulinifanya niache kushabikia mpira wa kitanzania tangu siku hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…