Kwaheri Ayubu Ryoba, karibu Zuhura Yunus TBC?

Kwaheri Ayubu Ryoba, karibu Zuhura Yunus TBC?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mzee Ayubu Ryoba b4 TBC alikuwa vocal tukadhani ana strategies lakini alipokwenda TBC akawa mpole,shirika likayumba na kukosa hadhi SAWA na matarajio ya umma.

Zuhura Yunus alipokuwa TBC alionyesha ufanisi mkubwa sana wenye utangazaji. Lakini alikuwa sehemu ya ma activist wanawake akiwa close na Maria Sarungi na Fatma. Alikiwa na chemistry nzuri alipoambatana na Charles Hilary.

Leo namwona Zuhura TBC baada ya Charles kuelekea Zenj. Au namwona Zuhura Nafasi ya Gerson wakati Gerson akieleka TBC.

Swali langu, tutegemee mabadiliko ya taasisi au tusubiri Zuhura akashushwe CV na taasisi? Endapo utasikia ameteuliwa, utamshauri aende serikalini au abaki private sector hasa ukizingatia Bado mdogo?
 
Mara Azam mara TBC tufuatilie wapi zuhura anapoenda?!

Mnatuchanganya aiseh!
Mnamfuatilia ili iweje, kwani akiwa mjasiriamali wa kawaida si inatosha tu! Siuoni umuhimu wake, TBC hakuna nafasi kule!
 
Mzee Ayubu Ryoba b4 TBC alikuwa vocal tukadhani ana strategies lakini alipokwenda TBC akawa mpole,shirika likayumba na kukosa hadhi SAWA na matarajio ya umma.

Zuhura Yunus alipokuwa TBC alionyesha ufanisi mkubwa sana wenye utangazaji. Lakini alikuwa sehemu ya ma activist wanawake akiwa close na Maria Sarungi na Fatma. Alikiwa na chemistry nzuri alipoambatana na Charles Hilary.

Leo namwona Zuhura TBC baada ya Charles kuelekea Zenj. Au namwona Zuhura Nafasi ya Gerson wakati Gerson akieleka TBC.

Swali langu, tutegemee mabadiliko ya taasisi au tusubiri Zuhura akashushwe CV na taasisi? Endapo utasikia ameteuliwa, utamshauri aende serikalini au abaki private sector hasa ukizingatia Bado mdogo?
mazingiara ya bongo ni magumu sana hata ukiwa vocal kwa kiasi gani ukiingilia tu serikalini utapewa terms of reference sasa hapo itakuwa kazi kwako ukubali au kukataa.
 
Mzee Ayubu Ryoba b4 TBC alikuwa vocal tukadhani ana strategies lakini alipokwenda TBC akawa mpole,shirika likayumba na kukosa hadhi SAWA na matarajio ya umma.

Zuhura Yunus alipokuwa TBC alionyesha ufanisi mkubwa sana wenye utangazaji. Lakini alikuwa sehemu ya ma activist wanawake akiwa close na Maria Sarungi na Fatma. Alikiwa na chemistry nzuri alipoambatana na Charles Hilary.

Leo namwona Zuhura TBC baada ya Charles kuelekea Zenj. Au namwona Zuhura Nafasi ya Gerson wakati Gerson akieleka TBC.

Swali langu, tutegemee mabadiliko ya taasisi au tusubiri Zuhura akashushwe CV na taasisi? Endapo utasikia ameteuliwa, utamshauri aende serikalini au abaki private sector hasa ukizingatia Bado mdogo?
Zuhura kaishaajiriwa azam bro

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mzee Ayubu Ryoba b4 TBC alikuwa vocal tukadhani ana strategies lakini alipokwenda TBC akawa mpole,shirika likayumba na kukosa hadhi SAWA na matarajio ya umma.

Zuhura Yunus alipokuwa TBC alionyesha ufanisi mkubwa sana wenye utangazaji. Lakini alikuwa sehemu ya ma activist wanawake akiwa close na Maria Sarungi na Fatma. Alikiwa na chemistry nzuri alipoambatana na Charles Hilary.

Leo namwona Zuhura TBC baada ya Charles kuelekea Zenj. Au namwona Zuhura Nafasi ya Gerson wakati Gerson akieleka TBC.

Swali langu, tutegemee mabadiliko ya taasisi au tusubiri Zuhura akashushwe CV na taasisi? Endapo utasikia ameteuliwa, utamshauri aende serikalini au abaki private sector hasa ukizingatia Bado mdogo?
Aaaaaaaaaaa!!! Zuhura Yunus kushika nafasi ya u-DG TBC bado, anahitaji kujifunza zaidi ukizingatia nafasi ya u-DG is more managerial kuliko kutangaza. Kama ataenda TBC kwa nafasi ya utangazaji ni sawa, lakini sio ya kuongoza watu, vifaa n.k
 
Back
Top Bottom