Kwaheri Ayubu Ryoba, karibu Zuhura Yunus TBC?

Leo namwona Zuhura TBC baada ya Charles kuelekea Zenj. Au namwona Zuhura Nafasi ya Gerson wakati Gerson akieleka TBC.
huu utabiri upelekwe umoja wa mataifa ukahifadhiwe vizuri kwa manufaa ya vizazi vijavyo
 
TBC ni kama uvccm. Huwezi kuwa huru na timamu ukiwa pale. Kama unabisha mtafute Tido Muhando. Pale TBC panawafaa dirtlickers.

Dr. Rioba kageuka kinyago ana hoji maswali ya mdako kwa Bibi Mchele!
Mkuu kwa hiyo mwanafalsafa Ayubu Ryoba anamuuliza chifu hangaya leading questions..........maswali ya 'yes' 'no' bora angempa hata multiple choice.
 
Mkuu kwa hiyo mwanafalsafa Ayubu Ryoba anamuuliza chifu hangaya leading questions..........maswali ya 'yes' 'no' bora angempa hata multiple choice.
Kabisaaa... Bi Mchele anajiamulia tu jinsi ya kujibu... Hakuna objections wala probes...
Mwisho kwa hofu kuu akabebeshwa zawadi amkabidhi Bi Mchele...
 
atafute na bwana pia ili aheshimike. mbona mzuri tu. ila kwa uzoefu, nampa big up, akileta uzoefu wa BBC kwenye TBC inapaa sana. kama unakumbuka, TVT ilikuja kuboreshwa na Mhando aliyekuwa bbc, alipofanyiwa mizengwe na kuondoka hadi leo watu wachache sana wanaweza kuangalia tbc. trust me, ni wachache mno, wangemwacha Tido pale hakika ingefika mbali,mnaona azam walipo. exposure inasaidia sana. zuhura pia akija na exposure lazima tbc inaweza kufufuka kwasabbu atakuja na mambo ya kizungu, hatakuwa na mambo ya kiswahili. hata hivyo, hata wasipomtaka, kwa cv yake, hawezi kukosa kazi.
 
Zuhura hawezi kwenda tbc,,,
 
Kumbe TBC bado ipo ?
 
Huyu bibi ni mdini balaa anajaza waislamu wenzake tupu kwenye taasisi za umma, anatamani hata makanisa yaongozwe na maustadhi
 
Aaaaaaaaaaa!!! Zuhura Yunus kushika nafasi ya u-DG TBC bado, anahitaji kujifunza zaidi ukizingatia nafasi ya u-DG is more managerial kuliko kutangaza. Kama ataenda TBC kwa nafasi ya utangazaji ni sawa, lakini sio ya kuongoza watu, vifaa n.k
Kwa huu utawala mbovu inawezekana kabisa
 
Ni ujinga kufanananisha au kuhamisha utangazaji na kuongoza chombo Cha taifa Cha habari.

Promo zingine hazina maana tuna mengi Sana ya kujadili Kama ubora wa elimu, vijana kujishughulisha nasio Mambo ya zuhura na Aisha
 
Tanzania pagumu sana kufanya kazi ya serikali. Si kwa kusagiana kunguni namna hii....na chawa kibao.
ni kweli, kwa mfano jobo alijiona kiburi akajisahau akagusa nyaya iliyochubuka - chaliiiii...

Ukiwa ndani ya Serikali ya CCM, ishi kama wao utake usitake ili tonge lifike kwenye koromeo.
 
TBC ni kama uvccm. Huwezi kuwa huru na timamu ukiwa pale. Kama unabisha mtafute Tido Muhando. Pale TBC panawafaa dirtlickers.

Dr. Rioba kageuka kinyago ana hoji maswali ya mdako kwa Bibi Mchele!
Aiseeeh!!πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…