Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
nilijua usingedumu kuwa kocha. hasa baada ya kumuacha ajibu na mkude.
nilistushwa sana na maneno ya kifedhuli ya JUMA nkamia dhidi yako yalinistua sana.
nilijua hautakuwa na kibarua tena.
kwenye nchi ambayo mchezaji anatangaza kustaafu kwa kuangalia utimamu wa mwili wake na anakuja mwanasiasa ( mwizi wa vyeti / badhite) na kumwambia asistaafu kufundisha mpira ngumu kweli.
kwaheri amunike, wewe ni shujaa, hata maximo alitushindwa
nilistushwa sana na maneno ya kifedhuli ya JUMA nkamia dhidi yako yalinistua sana.
nilijua hautakuwa na kibarua tena.
kwenye nchi ambayo mchezaji anatangaza kustaafu kwa kuangalia utimamu wa mwili wake na anakuja mwanasiasa ( mwizi wa vyeti / badhite) na kumwambia asistaafu kufundisha mpira ngumu kweli.
kwaheri amunike, wewe ni shujaa, hata maximo alitushindwa