Mnyuke junior
Member
- Jun 1, 2021
- 19
- 15
Kiungo mzuiaji wa miamba ya soka ya London (Arsenal) Granit Xhaka amekubali kujiunga na miamba ya soka ya italia As roma chini ya kocha JOSE MOURINHO kwa mkataba wa miaka mitano kwa Ada inayokadiriwa kati ya €18-20m hivi karibuni atasaini mkataba huo [emoji837]
Source; (chris wheatley)
Source; (chris wheatley)