Kwaheri January

Kwaheri January

Two dimension array

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
1,592
Reaction score
2,381
MAMBO KUMI(10 ) NILIYOJIFUNZA JANUARY[emoji1607][emoji1607][emoji1607]

1. Kumbe waweza shinda njaa bila kufa.
[emoji849][emoji856][emoji43]
2.Kumbe waweza beba chakula na kwenda nacho kazini.[emoji895][emoji501][emoji489][emoji894][emoji502]

3. Bila boda, Bila bajaj unaweza tembea na kufika Kazini.[emoji965][emoji906]

4. Tafadhali nipigie ni huduma ya msingi
[emoji849][emoji848]
5.Nyama ni mbaya kwa Afya yako.[emoji4][emoji850]

6. Jiko la mkaa linapika chakula kizuri sanaa.[emoji14][emoji857]

7. Kumbe ukisaga Mahindi yasiyokobolewa yanatoa unga safii[emoji851][emoji851]
8.Maji ya kuchemsha ni matamu na mazuri sana zaidi ya Dasani.[emoji848]

9. Waweza kula ugali kama kifungua kinywa( breakfast)

10. Ukioga na sabuni ya Kipande, bado utakuwa msafi.[emoji15][emoji86][emoji85][emoji15][emoji86][emoji85] ASANTE JANUARI.
Well played January[emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
Well played.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1424][emoji1424][emoji1424][emoji1424][emoji1424][emoji1424][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436][emoji1436]
Welcome February please be kind to us.
[emoji847][emoji847]
[emoji859][emoji859][emoji851][emoji851][emoji851]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom