ππ
hata 2016 ilikuwa hivi hivi hakuna kipya.
Kwanza hio cnn ni wapishi wenye phd za kutunga habari feki.
Trump yupo kwajili ya kubaki mpaka 2024, Hili halina mjadala kabisa.
Ni kituko kisicho na kifani trump kuwa na mpinzani ambae ni mbaguzi na ana ugonjwa wa kusahau kiasi cha kudhani mtoto wake ni mke wake π.
Sababu inayopelekea media nyingi kumchukia trump ni kwamba trump yupo huru, haendeshwi afanye nini kama kina obama waliokazania kuhamashisha ushoga.
Trump ingekuwa ni enzi zile kabla ya smartphones basi mwaka huu angeshindwa kwasababu media kama cnn zingeaminisha watu wasimpigie kura trump, Ila katika kizazi hiki cha utandawazi ni vigumu sana kumzuia trump maana watu wanajua kuchambua mchanga na mchele.
Leo hii cnn inashika nafasi za chini kuzidiwa hata na channels za kawaida huko marekani, Chanel kama fox news ndio inayoongoza marekani na hawa fox news ndio media chache zisizo ripoti ama kupika habari chafu za trump na wanachi wameona waiweke kando cnn maana ni uchafu.
Trump 2020 hadi 2024 , Haipingiki hata ukichukia