NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Asante sana afande wa zenji [emoji41]Group la Wanaume na kujiunga na wanautumiwa kama mbadala wa jinsia nyingine
Kaa kwa kutulia.ALAFU UTAKUJA KUAMBIWA HUYU MUANZISHA UZI NAE ANA FAMILIA ...DAH[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mambo mawili hapo
AKILI HUNA au HUNA AKILI.
Hivi kwanini mnakuwa hivyo jamani!!!!!
Kweherini,kwaherini, kwaherini, kwaherini 🦁Kwa kikosi dhaifu kilichojaribu kujitutumua mbele raja Casablanca kilipigwa nje ndani kwa jumla ya magoli sita kwa moja. Kila nikimtazama beki onyango na inonga naona kabisa ni ukuta mbovu ulioezekwa kwa mabua ni ngumu sana kuizuia Al Ahly endapo itapangwa nayo.
Mchezaji Chama aliyemlazimisha Kocha aingie kwenye mfumo wake,
Ndiyo mchezaji huyo huyo anaezurura kwenye mechi za kibabe, ambazo zinabest players kuliko Mtibwa Sugar. Naona kabisa huyu hana uwezo wowote endapo atakutana na beki za Mamelodi.
Kila nikimtazama Sadio Kanoute, Mzamiru na Kibu Denisi nazidi kuishiwa nguvu kabisa naona ipo kazi kubwa sana endapo watakutana kikosi Cha waarabu waliofuturu vizuri, hakika naona aibu Mimi.
Huku Mo Dewji akiwananga Wana simba nakusahau kabisa kuwa alitoa pesa kichele katika usajiri nakusajiri akina kibu, Sawadogo nk. Leo hii kwa michuano mikubwa ya ligi ya mabigwa unadhani utafika nusu?
Hakika Sina Cha kusema ila nawapa mkono wa kwaheri mkajipange tena watani. Msikubali kuletewa manzoki na ahadi za kuifunga yanga badala ya kusajiri wachezaji kwa ajiri ya kimataifa.
Mtani huwezi kufika nusu kwa kuingia kinyumenyume ndani ya uwanja, kuchoma uwanja. Nasema tena kwa heri Simba SC ahsante kwa kushiriki michuano ya kimataifa.
Kwaheri kabisa.Kweherini,kwaherini, kwaherini, kwaherini [emoji881]
Sawa na zalan au monastirie tuNyasa bullets nayo timu yakujivunia ushindi [emoji41]
Sasa unadhani yanga anaweza kuvimba kwa kuifunga zalani Kama nyinyi mnavyovimba juu ya horoya.Sawa na zalan au monastirie tu
Mbona mnavimba kwa kumpiga monastir?Sasa unadhani yanga anaweza kuvimba kwa kuifunga zalani Kama nyinyi mnavyovimba juu ya horoya.
Umenikumbusha mbali sana, mechi ya kwanza dhidi ya Nyasa BB ugenini walisema hivyo piaHivi hamchoki tuu? Maana hilo neno timu zaifu haifiki popote nimeanza kuwasikia tangu tunaenda kucheza na nyasa bulets chini ya kocha nguli mgunda. Simba akili kubwa, wakati nyie mnaiwinda kwenye hesabu za MAGAZIJUTO wao wenyewe simba wanawakwepa kwenye hesabu za BODMAS
Chukua kopo wahi maliwatoni ukajiswafi ndiyo urudi usome tena huu uharo wakoKwa kikosi dhaifu kilichojaribu kujitutumua mbele raja Casablanca kilipigwa nje ndani kwa jumla ya magoli sita kwa moja. Kila nikimtazama beki onyango na inonga naona kabisa ni ukuta mbovu ulioezekwa kwa mabua ni ngumu sana kuizuia Al Ahly endapo itapangwa nayo.
Mchezaji Chama aliyemlazimisha Kocha aingie kwenye mfumo wake,
Ndiyo mchezaji huyo huyo anaezurura kwenye mechi za kibabe, ambazo zinabest players kuliko Mtibwa Sugar. Naona kabisa huyu hana uwezo wowote endapo atakutana na beki za Mamelodi.
Kila nikimtazama Sadio Kanoute, Mzamiru na Kibu Denisi nazidi kuishiwa nguvu kabisa naona ipo kazi kubwa sana endapo watakutana kikosi Cha waarabu waliofuturu vizuri, hakika naona aibu Mimi.
Huku Mo Dewji akiwananga Wana simba nakusahau kabisa kuwa alitoa pesa kichele katika usajiri nakusajiri akina kibu, Sawadogo nk. Leo hii kwa michuano mikubwa ya ligi ya mabigwa unadhani utafika nusu?
Hakika Sina Cha kusema ila nawapa mkono wa kwaheri mkajipange tena watani. Msikubali kuletewa manzoki na ahadi za kuifunga yanga badala ya kusajiri wachezaji kwa ajiri ya kimataifa.
Mtani huwezi kufika nusu kwa kuingia kinyumenyume ndani ya uwanja, kuchoma uwanja. Nasema tena kwa heri Simba SC ahsante kwa kushiriki michuano ya kimataifa.
hakuna timu dhaifu inaweza kufika robo fainali ya kombe ya wanaume, CUF champion league uisikie tu.Kwa kikosi dhaifu kilichojaribu kujitutumua mbele raja Casablanca kilipigwa nje ndani kwa jumla ya magoli sita kwa moja. Kila nikimtazama beki onyango na inonga naona kabisa ni ukuta mbovu ulioezekwa kwa mabua ni ngumu sana kuizuia Al Ahly endapo itapangwa nayo.
Mchezaji Chama aliyemlazimisha Kocha aingie kwenye mfumo wake,
Ndiyo mchezaji huyo huyo anaezurura kwenye mechi za kibabe, ambazo zinabest players kuliko Mtibwa Sugar. Naona kabisa huyu hana uwezo wowote endapo atakutana na beki za Mamelodi.
Kila nikimtazama Sadio Kanoute, Mzamiru na Kibu Denisi nazidi kuishiwa nguvu kabisa naona ipo kazi kubwa sana endapo watakutana kikosi Cha waarabu waliofuturu vizuri, hakika naona aibu Mimi.
Huku Mo Dewji akiwananga Wana simba nakusahau kabisa kuwa alitoa pesa kichele katika usajiri nakusajiri akina kibu, Sawadogo nk. Leo hii kwa michuano mikubwa ya ligi ya mabigwa unadhani utafika nusu?
Hakika Sina Cha kusema ila nawapa mkono wa kwaheri mkajipange tena watani. Msikubali kuletewa manzoki na ahadi za kuifunga yanga badala ya kusajiri wachezaji kwa ajiri ya kimataifa.
Mtani huwezi kufika nusu kwa kuingia kinyumenyume ndani ya uwanja, kuchoma uwanja. Nasema tena kwa heri Simba SC ahsante kwa kushiriki michuano ya kimataifa.
Haya chukueni kombe basi [emoji16]hakuna timu dhaifu inaweza kufika robo fainali ya kombe ya wanaume, CUF champion league uisikie tu.
Tena anakaa kwa shemeji raha sana...Dada kule chumbani akitoa huduma mzuri tu basi..unaachiwa simu used na mabando unanunuliwa kila siku.Dogo umekuja kwa kasi sana humu mjini
Hongera sana kwa hatua uliyopo kwa hiyo dada ako akifukuzwa na wewe huna pakuishiTena anakaa kwa shemeji raha sana...Dada kule chumbani akitoa huduma mzuri tu basi..unaachiwa simu used na mabando unanunuliwa kila siku.
Kwa hiyo dogo wewe ulikuja slow sana humu mjiniDogo umekuja kwa kasi sana humu mjini
Saivi wanasimba MATUSI ndiyo kombe lenu.Siku huu mwiko uking'oka huko nyuma mtapata akili. Mshiriki wa kombe la losers unapata wapi nguvu za kusema simba ni dhaifu wakati yeye Yuko klabu bingwa na wewe uko kombe ma loser?View attachment 2576050View attachment 2576051
Umeandika kwa hisia sana mbumbumbu fc [emoji41]Hakuna kitu kibaya kinakaa sehemu nzuri
na hakuna kitu kizuri kinakaa sehemu mbaya
alipo simba ndio sehemu aliyo stahili kuwepo
na alipo yanga ndio mahali alipo stahili
na kama simba atakomea robo basi ndivyo alivyo stahili
kwa hiyo msipende sana kuwa na viherehere vya ushabiki na kujifanya wachambuzi hali ya kua huujui mpira
kenge we