Kwaheri Simba SC, Ahsante kwa kushiriki michuano ya Mabingwa, CAF

Kwaheri Simba SC, Ahsante kwa kushiriki michuano ya Mabingwa, CAF

ALAFU UTAKUJA KUAMBIWA HUYU MUANZISHA UZI NAE ANA FAMILIA ...DAH[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna mambo mawili hapo

AKILI HUNA au HUNA AKILI.



Hivi kwanini mnakuwa hivyo jamani!!!!!
 
Dogo si ungesubiri YA tuipige kwanza?
Unawanga mchana...subiri kiza/giza liingie basi?
 
ALAFU UTAKUJA KUAMBIWA HUYU MUANZISHA UZI NAE ANA FAMILIA ...DAH[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna mambo mawili hapo

AKILI HUNA au HUNA AKILI.



Hivi kwanini mnakuwa hivyo jamani!!!!!
Kaa kwa kutulia.
 
Kwa kikosi dhaifu kilichojaribu kujitutumua mbele raja Casablanca kilipigwa nje ndani kwa jumla ya magoli sita kwa moja. Kila nikimtazama beki onyango na inonga naona kabisa ni ukuta mbovu ulioezekwa kwa mabua ni ngumu sana kuizuia Al Ahly endapo itapangwa nayo.

Mchezaji Chama aliyemlazimisha Kocha aingie kwenye mfumo wake,
Ndiyo mchezaji huyo huyo anaezurura kwenye mechi za kibabe, ambazo zinabest players kuliko Mtibwa Sugar. Naona kabisa huyu hana uwezo wowote endapo atakutana na beki za Mamelodi.

Kila nikimtazama Sadio Kanoute, Mzamiru na Kibu Denisi nazidi kuishiwa nguvu kabisa naona ipo kazi kubwa sana endapo watakutana kikosi Cha waarabu waliofuturu vizuri, hakika naona aibu Mimi.

Huku Mo Dewji akiwananga Wana simba nakusahau kabisa kuwa alitoa pesa kichele katika usajiri nakusajiri akina kibu, Sawadogo nk. Leo hii kwa michuano mikubwa ya ligi ya mabigwa unadhani utafika nusu?

Hakika Sina Cha kusema ila nawapa mkono wa kwaheri mkajipange tena watani. Msikubali kuletewa manzoki na ahadi za kuifunga yanga badala ya kusajiri wachezaji kwa ajiri ya kimataifa.

Mtani huwezi kufika nusu kwa kuingia kinyumenyume ndani ya uwanja, kuchoma uwanja. Nasema tena kwa heri Simba SC ahsante kwa kushiriki michuano ya kimataifa.
Kweherini,kwaherini, kwaherini, kwaherini 🦁
 
Hivi ikitokea Simba amevuka hatua ya robo fainali mtakua na nini kingine cha kujitetea,, kwamba waarabu wabovu ??[emoji23][emoji23]
 
Hivi hamchoki tuu? Maana hilo neno timu zaifu haifiki popote nimeanza kuwasikia tangu tunaenda kucheza na nyasa bulets chini ya kocha nguli mgunda. Simba akili kubwa, wakati nyie mnaiwinda kwenye hesabu za MAGAZIJUTO wao wenyewe simba wanawakwepa kwenye hesabu za BODMAS
Umenikumbusha mbali sana, mechi ya kwanza dhidi ya Nyasa BB ugenini walisema hivyo pia
 
Kwa kikosi dhaifu kilichojaribu kujitutumua mbele raja Casablanca kilipigwa nje ndani kwa jumla ya magoli sita kwa moja. Kila nikimtazama beki onyango na inonga naona kabisa ni ukuta mbovu ulioezekwa kwa mabua ni ngumu sana kuizuia Al Ahly endapo itapangwa nayo.

Mchezaji Chama aliyemlazimisha Kocha aingie kwenye mfumo wake,
Ndiyo mchezaji huyo huyo anaezurura kwenye mechi za kibabe, ambazo zinabest players kuliko Mtibwa Sugar. Naona kabisa huyu hana uwezo wowote endapo atakutana na beki za Mamelodi.

Kila nikimtazama Sadio Kanoute, Mzamiru na Kibu Denisi nazidi kuishiwa nguvu kabisa naona ipo kazi kubwa sana endapo watakutana kikosi Cha waarabu waliofuturu vizuri, hakika naona aibu Mimi.

Huku Mo Dewji akiwananga Wana simba nakusahau kabisa kuwa alitoa pesa kichele katika usajiri nakusajiri akina kibu, Sawadogo nk. Leo hii kwa michuano mikubwa ya ligi ya mabigwa unadhani utafika nusu?

Hakika Sina Cha kusema ila nawapa mkono wa kwaheri mkajipange tena watani. Msikubali kuletewa manzoki na ahadi za kuifunga yanga badala ya kusajiri wachezaji kwa ajiri ya kimataifa.

Mtani huwezi kufika nusu kwa kuingia kinyumenyume ndani ya uwanja, kuchoma uwanja. Nasema tena kwa heri Simba SC ahsante kwa kushiriki michuano ya kimataifa.
Chukua kopo wahi maliwatoni ukajiswafi ndiyo urudi usome tena huu uharo wako

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwa kikosi dhaifu kilichojaribu kujitutumua mbele raja Casablanca kilipigwa nje ndani kwa jumla ya magoli sita kwa moja. Kila nikimtazama beki onyango na inonga naona kabisa ni ukuta mbovu ulioezekwa kwa mabua ni ngumu sana kuizuia Al Ahly endapo itapangwa nayo.

Mchezaji Chama aliyemlazimisha Kocha aingie kwenye mfumo wake,
Ndiyo mchezaji huyo huyo anaezurura kwenye mechi za kibabe, ambazo zinabest players kuliko Mtibwa Sugar. Naona kabisa huyu hana uwezo wowote endapo atakutana na beki za Mamelodi.

Kila nikimtazama Sadio Kanoute, Mzamiru na Kibu Denisi nazidi kuishiwa nguvu kabisa naona ipo kazi kubwa sana endapo watakutana kikosi Cha waarabu waliofuturu vizuri, hakika naona aibu Mimi.

Huku Mo Dewji akiwananga Wana simba nakusahau kabisa kuwa alitoa pesa kichele katika usajiri nakusajiri akina kibu, Sawadogo nk. Leo hii kwa michuano mikubwa ya ligi ya mabigwa unadhani utafika nusu?

Hakika Sina Cha kusema ila nawapa mkono wa kwaheri mkajipange tena watani. Msikubali kuletewa manzoki na ahadi za kuifunga yanga badala ya kusajiri wachezaji kwa ajiri ya kimataifa.

Mtani huwezi kufika nusu kwa kuingia kinyumenyume ndani ya uwanja, kuchoma uwanja. Nasema tena kwa heri Simba SC ahsante kwa kushiriki michuano ya kimataifa.
hakuna timu dhaifu inaweza kufika robo fainali ya kombe ya wanaume, CUF champion league uisikie tu.
 
Hakuna kitu kibaya kinakaa sehemu nzuri
na hakuna kitu kizuri kinakaa sehemu mbaya
alipo simba ndio sehemu aliyo stahili kuwepo
na alipo yanga ndio mahali alipo stahili
na kama simba atakomea robo basi ndivyo alivyo stahili
kwa hiyo msipende sana kuwa na viherehere vya ushabiki na kujifanya wachambuzi hali ya kua huujui mpira
kenge we
 
Dogo umekuja kwa kasi sana humu mjini
Tena anakaa kwa shemeji raha sana...Dada kule chumbani akitoa huduma mzuri tu basi..unaachiwa simu used na mabando unanunuliwa kila siku.
 
Tena anakaa kwa shemeji raha sana...Dada kule chumbani akitoa huduma mzuri tu basi..unaachiwa simu used na mabando unanunuliwa kila siku.
Hongera sana kwa hatua uliyopo kwa hiyo dada ako akifukuzwa na wewe huna pakuishi
 
Hakuna kitu kibaya kinakaa sehemu nzuri
na hakuna kitu kizuri kinakaa sehemu mbaya
alipo simba ndio sehemu aliyo stahili kuwepo
na alipo yanga ndio mahali alipo stahili
na kama simba atakomea robo basi ndivyo alivyo stahili
kwa hiyo msipende sana kuwa na viherehere vya ushabiki na kujifanya wachambuzi hali ya kua huujui mpira
kenge we
Umeandika kwa hisia sana mbumbumbu fc [emoji41]
 
Back
Top Bottom