Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 422
- 802
maisha ya chuo nasupport ndogo ya mzazi,nyakati zimekuwa ngumu sana nimeamua kuachana na chuo rasmi, inaumiza lakini hakuna jinsi siwezi fahamu kipi kitatoke baada ya hapa cha msingi kuendelea kupigana, as they say life begin after school.namimi naanza maisha ya mtaa rasmi. bye bye udsm.
pole sana mkuu. ulichosema namkumbuka mwalimu wangu mmoja aliwahi tuambia cku moja class kuwa, shida mnazozipata shuleni hapa ni kutokana na umaskin wa wazaz wenu hivyo mnatakiwa kusoma kwa bidii ili na watoto wenu baadae wasije laumu kuwa tunapata taabu kutokana na umaskin wa wazaz wetu, take care japo maisha hayana fomula maana cku iz aliyesoma anakuwa tu tegemez afu walioishia la nne wanatusua yu kitaa. warning: iga uone cha moto kila mtu na ridhik yake.
Umetisha mkuu kama ameamua mwenyewe akaanze maisha ni vizuri ila kama kashauriwa afanye hivyo kapoteapole sana mkuu. ulichosema namkumbuka mwalimu wangu mmoja aliwahi tuambia cku moja class kuwa, shida mnazozipata shuleni hapa ni kutokana na umaskin wa wazaz wenu hivyo mnatakiwa kusoma kwa bidii ili na watoto wenu baadae wasije laumu kuwa tunapata taabu kutokana na umaskin wa wazaz wetu, take care japo maisha hayana fomula maana cku iz aliyesoma anakuwa tu tegemez afu walioishia la nne wanatusua yu kitaa. warning: iga uone cha moto kila mtu na ridhik yake.
Usijejiroga ukaacha chuo kwa kisingizio cha maisha magumu..
Hayo hayo maisha magumu na mtaa ni the same situation ...cha kukushauri postpone mwaka.
maisha ya chuo nasupport ndogo ya mzazi,nyakati zimekuwa ngumu sana nimeamua kuachana na chuo rasmi, inaumiza lakini hakuna jinsi siwezi fahamu kipi kitatoke baada ya hapa cha msingi kuendelea kupigana, as they say life begin after school.namimi naanza maisha ya mtaa rasmi. bye bye udsm.
Naomba ni inbox Mkuu.... Tusaidane
Naomba ni inbox Mkuu.... Tusaidane