Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 422
- 802
maisha ya chuo nasupport ndogo ya mzazi,nyakati zimekuwa ngumu sana nimeamua kuachana na chuo rasmi, inaumiza lakini hakuna jinsi siwezi fahamu kipi kitatoke baada ya hapa cha msingi kuendelea kupigana, as they say life begin after school.namimi naanza maisha ya mtaa rasmi. bye bye udsm.