MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 572
Wiku hii wakazi wa Dar es salaam mliokuwa mmekuja kula sikukuu mikoani mnaanza kurejea makwenu. Tunashukuru kwa matusi yenu kuwa sisi ni washamba, hatujui kuendesha magari wakati mmekodi magari yetu n.k
Inashangaza sana. Hawa jamaa ni wazaliwa wa huku, unakuta sisi tuna maisha bora kuliko wao kwani tumejenga hatupangi, tuna usafiri wetu hatuazimi wa mtu, hatuna madeni kama wao, tunaishi wa umoja, upendo na maelewano. Wao wanakuja kwenye sikukuu wanakuomba uwaazime gari, wanakuomba uwapeleke kwenye “kiwanja” kinachowika ili wafurahie. Wakifika hapo wanataka kila mtu atambue kuwa katoka DSM. Wanatukana wahudumu, wanachambua mavazi ya wateja n.k.
Ndio maana nasema KWAHERINI TUACHE JINSI TULIVYO!
Inashangaza sana. Hawa jamaa ni wazaliwa wa huku, unakuta sisi tuna maisha bora kuliko wao kwani tumejenga hatupangi, tuna usafiri wetu hatuazimi wa mtu, hatuna madeni kama wao, tunaishi wa umoja, upendo na maelewano. Wao wanakuja kwenye sikukuu wanakuomba uwaazime gari, wanakuomba uwapeleke kwenye “kiwanja” kinachowika ili wafurahie. Wakifika hapo wanataka kila mtu atambue kuwa katoka DSM. Wanatukana wahudumu, wanachambua mavazi ya wateja n.k.
Ndio maana nasema KWAHERINI TUACHE JINSI TULIVYO!