Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Watapiga siku zote mbili yaani tar 27 na 28 October tuone huyo Jamshed wenu Kama atatoboa.Hii ya wafanyakazi wa Zanzibar kupiga kura tarehe 27.10.2020 badala ya 28.10.2020 inatakiwa iangaliwe upya japo iko kwenye utaratibu wa ZEC.
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.HAPA KILICHOBAKI NI KUTENGENEZA SEREKALI YA MSETO TU LAKINI SI KIACHIA NCHI HII MOJA KWA MOJA
TISS wana masanduku ya kura 127,000 za Dr Hussein Mwinyi
Yule unaemwita babu yy kafanya mikutano mikubwa 25 yule raiya wa mkuranga kafanya mikutano saba Zanzibar nzima ikiwemo unguja na pemba lkn mpaka watu wabebwe na malori na waoewe sh 5000 ili watu wakajaze vichwa na wengine huletwa kutoka bara kwa meli za bakharesaYule Babu ndo ataing'oa CCM ?
Maalim kashawambia watu wote watakwenda wenye kazi na wasiyo na kazi tutaonana alfajiri ktk vituo tarehe 27 na 28Hii ya wafanyakazi wa Zanzibar kupiga kura tarehe 27.10.2020 badala ya 28.10.2020 inatakiwa iangaliwe upya japo iko kwenye utaratibu wa ZEC.
Wamesema maalum lkn watu wote wenda 27 hakuna kulemaa kwani wataka waibe hapo hapo ukiwaachia pekeyaoHii ya kupiga kura 27.10.2020 ni wafanya kazi wote au ni wale maalum watakao simamia uchaguzi?
Maalim kafanya mikutano mikubwa 27 mpaka sahivi lkn yule raiya wa mkuranga kafanya 7Maalim apati kitu na akibweka saana basi umakamu wa Rais wa kwanza utamuhusu,amalizie maradhi yake ya sukari kwa miaka mitano,akamiliza hiyo mitano atupishe.
wembe ni uleule.
U mean yenye kura zilizopigwa tayari, na yanasubiri kupenyezwa ndani?TISS wana masanduku ya kura 127,000 za Dr Hussein Mwinyi
Mbona tarehe 27 umeisahauKila mvuvi atapata boat yenye radio call na televisheni, ahadi zingine bwana. Maalim apumzike kwakweli amechoka na hana jipya. Sera yake ya kuvunja muungano imebuna na itapewa jibu mujarabu Tar 28 na Wananchi
Nyinyi muna laana kwanza ya mashekhe kuwaweka ndaniUsihofu wanasiasa wanabadilika wakati wowote.akuna mkate mgimu mbele ya chai.
Na, ajabu, sasa wao ndo wako mstari wa mbele kuua mitaji ya ndani na sekta binafsi! ... yaani mi siwaelewi kabisa!Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.
TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu viuno vyenyewe ukakatie Zenji!Safi sana. Itokomezeni kabisa. Imebakia kutegemea wakata viuno ili kuwahadaa watu. Safari hii labda waue wazanzibar wote ndiyo watawale.
Umma uliochoka na mtawala dhalimu huwa hata hausikilizi Sera tena, bali muda wote unachotaka ni maneno hata ya uongo, kama faraja, kutoka kwa "MKOMBOZI"!Zanzibar ya upinzani hoja kadhaa eti...
Skuli zote zitakua za ghotofa
Nitafuta madeni yote...
Dah, babu kachoka kwa kweli maana hapa hata mtoto wa darasa la pili B humdanganyi..
Chaguo la Wazanzibari ilikuwa na Dr. Khamisi na Dr. Khakid...... Mwinyi hakubaliki vibaya mno!... Hata Unguja tu thid time Seif atashinda kwa more than 60%. Pemba 95%..... Mwinyi alibebwa na familia yake but hana mvuto wa kisiasa afu mbaya zaidi Zanzibar hawamjui kabisaSalaam kutoka Zenji ,kuna uhakika kutoka kila pembe kuwa sasa ni rasmi CCM imeshazikwa Zanzibar,hilo halina mjadala ,jukwaa la CCM Zanzibar CCM huchawanyika na kumuwacha/chia baba na mwana kwenye jukwaa.
Huyu baba ameenda kufanya nini mbona anamharibia mwanawe ? Husein unahisi ana ukakasi fulani ,huwezi kurapu ukaeleweka kama mzee wako yupo pembeni.
Ukweli ni kuwa CCM haipo imeshafutika kwa wananchi ambao ndio wapiga kura,kila lifanywalo na kupangwa na kina Bashiru kutoka Tanganyika huwekwa uwanjani,mipango na mbinu zote zinajulikana na wananchi sasa kama wananchi au tuseme WaZanzibari walio wengi wanajipanga kupambana na hila hizo ovu,
CCM ijue Zanzibar watu wao wanauelewa wa uraia wao na hawababaiki na mambo ya siasa wanaangalia zaidi muelekeo wa Nchi yao na hatari inayoikabili ,kusema kweli CCM wamevuruga kumuweka Husein Mwinyi,wangeweka nokoa yeyote yule Mzanzibari kuliko kumuweka mtu ambae hata mitaa ya Zanizibar haielewi,na kusema kweli wamempa wakati mgumu sana Husein Mwinyi ,sasa hajui achague nini kati ya dini na dunia.
Mipango ya Bashiru au tuseme CCM yote ipo njenje na inaeleweka tena inaeleweka hatua kwa hatua,kuna ulazima gani kulazimisha ushindi ? Kwamba ni lazima CCM ishinde,wakati haikushinda chaguzi zilizopita ambapo kulikuwa na wagombea waZanzibar atakuja kushinda huyu ambae CCM wenyewe wametifuana ndani wenyewe kwa wenyewe na hawajakaa sawa hadi leo.
CCM acheni mbinu chafu mtaumbuka na mpira utakuja kuwaangukia watumika.
Nilifikiri mawakala wa vyama wanatakiwa wawepo hata hiyo tarehe 27.10.2020 na kura zihesabiwe kwa siku hiyo ili wasije wakashindilia kura nyingine.Wamesema maalum lkn watu wote wenda 27 hakuna kulemaa kwani wataka waibe hapo hapo ukiwaachia pekeyao
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mlisema hawezi kurudi nyumbani kwamba anaenda kuishi ukimbizini Norway, huyu anayewanyanyasa leo naona sio yeye ni mzimu wake tu.Ha ha ha, baada ya Oct 28 urudi hapa kiwaaga Lissu atakuwa anarejea kwao Ubelgiji kwa aibu kubwa.
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUSSalaam kutoka Zenji ,kuna uhakika kutoka kila pembe kuwa sasa ni rasmi CCM imeshazikwa Zanzibar,hilo halina mjadala ,jukwaa la CCM Zanzibar CCM huchawanyika na kumuwacha/chia baba na mwana kwenye jukwaa.
Huyu baba ameenda kufanya nini mbona anamharibia mwanawe ? Husein unahisi ana ukakasi fulani ,huwezi kurapu ukaeleweka kama mzee wako yupo pembeni.
Ukweli ni kuwa CCM haipo imeshafutika kwa wananchi ambao ndio wapiga kura,kila lifanywalo na kupangwa na kina Bashiru kutoka Tanganyika huwekwa uwanjani,mipango na mbinu zote zinajulikana na wananchi sasa kama wananchi au tuseme WaZanzibari walio wengi wanajipanga kupambana na hila hizo ovu,
CCM ijue Zanzibar watu wao wanauelewa wa uraia wao na hawababaiki na mambo ya siasa wanaangalia zaidi muelekeo wa Nchi yao na hatari inayoikabili ,kusema kweli CCM wamevuruga kumuweka Husein Mwinyi,wangeweka nokoa yeyote yule Mzanzibari kuliko kumuweka mtu ambae hata mitaa ya Zanizibar haielewi,na kusema kweli wamempa wakati mgumu sana Husein Mwinyi ,sasa hajui achague nini kati ya dini na dunia.
Mipango ya Bashiru au tuseme CCM yote ipo njenje na inaeleweka tena inaeleweka hatua kwa hatua,kuna ulazima gani kulazimisha ushindi ? Kwamba ni lazima CCM ishinde,wakati haikushinda chaguzi zilizopita ambapo kulikuwa na wagombea waZanzibar atakuja kushinda huyu ambae CCM wenyewe wametifuana ndani wenyewe kwa wenyewe na hawajakaa sawa hadi leo.
CCM acheni mbinu chafu mtaumbuka na mpira utakuja kuwaangukia watumika.